Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU e.V) kuwasili nchini leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani UTU e.V,Peter Kazaura (pichani) anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania leo 02.02.2015 kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Taifa.
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na uongozi wa taasisi mbali mbali zikiwepo TIC, Basata, Wizara ya Ardhi,Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo pamoja na mashirika ya NSSF, NHC, Tanzania Diaspora Initiative.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asG4Yx4OnAu2PoKC7x*OmzyrBB0yn5rymuOndh*PdNiW*H3w7o6WXb*0qUtAossRZ4r04EXcvbeRf0JUck7X2JC/LOGO_UTU.jpg?width=650)
UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) KUFANYA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI APRILI 26, 2014 BERLIN
11 years ago
Michuzi13 Apr
Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi 26.April 2014 Berlin
Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu wa chombo chao UTU ambao kinawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani bila kujali...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s72-c/images+(1).jpg)
Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi .April 26, 2014 mjini Berlin
![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kgAlxp3hAM0/VM6FdXcFbrI/AAAAAAADXBQ/LdRjtGLdBPw/s72-c/PeterKazaura.jpg)
Makamo mwenyekiti wa UTU kuwasili Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-kgAlxp3hAM0/VM6FdXcFbrI/AAAAAAADXBQ/LdRjtGLdBPw/s1600/PeterKazaura.jpg)
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora. akiendelea kueleza msemaji wa Umoja huo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FBSE_I_ls3E/VM4VhP0EA7I/AAAAAAAHApk/-TVwqfoT67o/s72-c/Official-portrait-Federal-President-Gauck.jpg)
Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck kuwasili nchini kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-FBSE_I_ls3E/VM4VhP0EA7I/AAAAAAAHApk/-TVwqfoT67o/s1600/Official-portrait-Federal-President-Gauck.jpg)
Mhe. Rais Gauck atapokelewa rasmi na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Februari, 2015 na atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21. Wananchi wanaombwa kuwa watulivu wakati mizinga hii ikipigwa kwani ni salama.
Baada ya mapokezi hayo,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Umoja Wa Watanzania Ujerumani Wazindua Tovuti
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s1600/unnamed+(45).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s72-c/images.jpg)
RAIS WA UJERUMANI KUWASILI LEO USIKU , MAANDALIZI YA MAPOKEZI YAKE YAKAMILIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s1600/images.jpg)
Akizungumzia ujio wa rais huyo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam Mh. Meck Sadiki amesema kuwa rais Joachim Gauck na msafara wake atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere majira ya saa...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) wakutana na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu akiwaeleza jambo Wawakilishi wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuhusu mapendekezo yao waliyoyawasilisha kwake kwaajili ya Katiba Mpya.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
UMOJA wa Machifu wa Tanzania (UMT) kupitia wawakilishi wake, leo umewasilisha nyongeza ya mapendekezo yake kuhusu Katiba Mpya kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Akiuwakilisha Umoja wa Machifu Tanzani (UMT), Chifu kutoka...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...