Umoja Wa Watanzania Ujerumani Wazindua Tovuti
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Umoja wa Watanzania Ujerumani (U T U) Umezindua Mtandao wake leo hii Tarehe 19.05.2011, mjini Aschaffenburg ujerumani. Mtandao huo ambao umeaza kutumika kwa lugha ya Taifa ya Ujerumani (kijerumani) upo mbioni pia kutandaza habari kwa lunga za kimataifa ikiwemo kiswahili. Akiongea na vyanzo vyetu vya habari mwenyekiti wa umoja huo mheshimiwa Mfundo Peter Mfundo amewataka wanachama wa U T U na Watanzania wote kwa Ujumla kuwa na subira kidogo kwani mtandao huo utaanza kupatikana kwa lugha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU e.V) kuwasili nchini leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na uongozi wa taasisi mbali mbali zikiwepo TIC, Basata, Wizara ya Ardhi,Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo pamoja na mashirika ya NSSF, NHC, Tanzania Diaspora Initiative.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asG4Yx4OnAu2PoKC7x*OmzyrBB0yn5rymuOndh*PdNiW*H3w7o6WXb*0qUtAossRZ4r04EXcvbeRf0JUck7X2JC/LOGO_UTU.jpg?width=650)
UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) KUFANYA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI APRILI 26, 2014 BERLIN
11 years ago
Michuzi13 Apr
Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi 26.April 2014 Berlin
Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu wa chombo chao UTU ambao kinawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani bila kujali...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s72-c/images+(1).jpg)
Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi .April 26, 2014 mjini Berlin
![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0Yyk009ZblE/VYgTRJcPFJI/AAAAAAAAHa4/L7TAkPmN5ig/s72-c/wEB1.jpg)
SIMBA SPORT CLUB WAZINDUA TOVUTI YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Yyk009ZblE/VYgTRJcPFJI/AAAAAAAAHa4/L7TAkPmN5ig/s640/wEB1.jpg)
Akizungumza wakati wauzinduzi huo Rais wa Simba Evans Aveva alisema ‘’Katika dunia na zama...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wanyakyusa wa Kyela wazindua umoja wao
UMOJA wa Wanyakyusa waishio jijini Mbeya kutoka Kata za Unyakyusa na Ntebela Wilaya ya Kyela, wamezindua umoja wao unaoitwa Unyante. Uzinduzi huo umefanyika juzi, sambamba na utoaji wa msaada kwa...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Makipa wazindua umoja wao kwa kuiua Taswa
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja
9 years ago
StarTV07 Sep
Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?
Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.
Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...