Wanyakyusa wa Kyela wazindua umoja wao
UMOJA wa Wanyakyusa waishio jijini Mbeya kutoka Kata za Unyakyusa na Ntebela Wilaya ya Kyela, wamezindua umoja wao unaoitwa Unyante. Uzinduzi huo umefanyika juzi, sambamba na utoaji wa msaada kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Makipa wazindua umoja wao kwa kuiua Taswa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Umoja Wa Watanzania Ujerumani Wazindua Tovuti
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s1600/unnamed+(45).jpg)
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--sp_y3XKsFk/ViNRmVVgTeI/AAAAAAAIAsU/fiCC1YTFiaA/s72-c/Child-soldier-2%2B-%2BCopy.jpg)
WATOTO BADO WANAENDELEA KUDHULUMIWA UTOTO WAO- UMOJA WA MATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sp_y3XKsFk/ViNRmVVgTeI/AAAAAAAIAsU/fiCC1YTFiaA/s640/Child-soldier-2%2B-%2BCopy.jpg)
9 years ago
StarTV07 Sep
Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?
Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.
Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_uyzeiQZDas/VI6Z1de2rkI/AAAAAAACwc8/SZjjL_PsDLA/s72-c/Viongozi.jpg)
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma mjii wa Nanchang nchini China waanzisha umoja wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-_uyzeiQZDas/VI6Z1de2rkI/AAAAAAACwc8/SZjjL_PsDLA/s1600/Viongozi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zYXNzr0fDCk/VI6ZuqT6-fI/AAAAAAACwcs/xSYhcEhmMxU/s1600/wadau%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aD8hHkHQY7Q/VI6cRno307I/AAAAAAACwdo/iyY3JgmGLfc/s1600/Kukata%2Bkeki.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OsdSxUa1CXw/VI6Zwh5WxII/AAAAAAACwc0/qP8k671UAJo/s1600/wadau.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine
Na Mwandishi wetu, Washington, DC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Skylight Band wazindua wimbo wao mpya kwa kishindo, leo ndani ya Thai Village hapatoshi njoo ucheze na kufurahi na staili mpya kibaoo!!
Divas wa Skyligth Band toka kushoto Aneth Kushab,Mary Lukos(katikati) na Digna Mpera(kulia)wakilianzisha Taratibuuu Ijumaa Iliyopita huku wakipendeza na kivazi chao cha asili ya Kitanzania
Diva wa Skylight Band Mary Lukos akilitiririsha Vocal kaliiiiii
Diva wa Skylight Band Digna Mpera akilisogeshaaaa taratibuuuuuuuu
Meneja mwenyeweee Aneth Kushaba kwa raha zakeeeee Akiiimba kwa furaha kabisa ndani ya Kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita,ambayo ilikuwa ni uzinduzi Rasmi wa Wimbo wao...
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...