Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma mjii wa Nanchang nchini China waanzisha umoja wao

Viongozi wa NATATA, toka kushoto ni Katibu Mkuu Halima Guga,Mwenyekiti Given Massawe na mratibu wa Elimu Abdulkarim Baksh.  Mwenyekiti wa NATASA ,Given Massawe akipozi kwa picha na wadau wa NATASA, toka kushoto  ni Henry Mzava,Evance,Letitia Smith ambae yeye anatoka Namibia, Henry,Hamza Riyani, Charles na Mercy.  M/kiti wa NATASA Given Massawe akikata keki ya ya kuzindua umoja huo pamoja kuazimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tz huku katibu wake Halima Guga akishuhudia. Wakina dada wa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI 420 WA KITANZANIA WALIOKO KATIKA MJI WA WUHAN NCHINI CHINA


Dare Es Salaam, 14 Februari 2020
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuwaondoa hofu na taharuki Watanzania hususan wazazi, ndugu na jamaa wa wanafunzi takribani 420 walioko katika jimbo la Hubei, mji wa Wuhan Nchini China, ambapo ndio kitovu cha maambukizi ya virusi vya homa ya Corona (COVID-19) kuwa hadi sasa hakuna mwanafunzi au Mtanzania yeyote aliyebainika kuambukizwa virusi hivyo na kuwasihi kuendelea kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kufuatilia hali...

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI WA TANZANIA WANAOSOMA CHINA WAPATA VIONGOZI WAPYA‏

Viongozi wapya waliochaguliwa katika mkutano mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya uchaguzi huo.
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing nchini China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa jumuiya hiyo na kuwapata viongozi wapya baada ya kuchaguliwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka…

 

10 years ago

Michuzi

Wanafunzi wa Tanzania Wanaosoma Mjini Beijing China wachagua viongozi wapya

Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo na kuwapata Viongozi wapya baada ya kuchagulia kwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka 2015/2016.
Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma mjini Beijing China wapata viongozi wapya

Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.

Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.

Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo na kuwapata Viongozi wapya baada ya kuchagulia kwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka 2015/2016

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KITANZANIA WUHAN CHINA WASHIRIKI MAONESHO YA UTAMADUNI

 TAREHE 22 NOVEMBER 2014 UMOJA WA WANAFUNZI WA KITANZANIA WANAOSOMA JIJINI WUHAN CHINA (WUHAN TANZANIAN STUDENTS ASSOCIATION) ULIWAONGOZA WATANZANIA WANAOISHI JIJINI HUMO,KATIKA KUITANGAZA NCHI YA TANZANIA KATIKA MAONESHO HAYO YA KITAMADUNI YALIYOANDALIWA NA CHUO KIKUU CHA WUHAN(WUHANI UNIVERSITY) NA KUSHIRIKISHA MATAIFA MBALIMBALI YA AFRIKA,ULAYA ,AMERIKA YA KUSINI,AMERIKA YA KASKAZINI NA ASIA.AMBAPO WUTASA ILITUMIA FURSA HIYO KUITANGAZA TANZANIA IKIWEMO MBUGA ZA WANYAMA,VYAKULA VYA...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUHUSU WAFUNGWA WA KITANZANIA NCHINI CHINA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kukanusha taarifa za uvumi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na vyombo vya habari kuwa kuna Watanzania wapatao 160 wamenyongwa nchini China kwa kosa la kusafirisha madawa ya kulevya. Wizara inapenda kuujulisha Umma kuwa hakuna Mtanzania yeyote aliyenyongwa kama inavyodaiwa kwenye mitandao na vyombo vya habari. Aidha, taarifa hiyo ya uvumi imedai kuwa ndugu wa mmoja wa Watanzania hao ambaye kwa jina anajulikana...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI 70 WA UHANDISI NA UDAKTARI KUONDOKA NCHINI SEPTEMBA 22, 2015 KWENDA KWA MASOMO NCHINI CHINA

Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya China leo katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Wanafunzi wakilipia tisheti kwa ajili ya sare ya kutambuana wakati wa safari ya kwenda katika vyuo vya China katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na...

 

11 years ago

Habarileo

Waonywa kutoozesha watoto wao wanaosoma

WAZAZI wametakiwa kuitumia fursa ya elimu kwa watoto wa kike na kuachana na tabia ya kuwaozesha wakati wanaendelea na masomo kwani kufanya hivyo ni kudumaza maendeleo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani