Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma mjii wa Nanchang nchini China waanzisha umoja wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-_uyzeiQZDas/VI6Z1de2rkI/AAAAAAACwc8/SZjjL_PsDLA/s72-c/Viongozi.jpg)
Viongozi wa NATATA, toka kushoto ni Katibu Mkuu Halima Guga,Mwenyekiti Given Massawe na mratibu wa Elimu Abdulkarim Baksh.
Mwenyekiti wa NATASA ,Given Massawe akipozi kwa picha na wadau wa NATASA, toka kushoto ni Henry Mzava,Evance,Letitia Smith ambae yeye anatoka Namibia, Henry,Hamza Riyani, Charles na Mercy.
M/kiti wa NATASA Given Massawe akikata keki ya ya kuzindua umoja huo pamoja kuazimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tz huku katibu wake Halima Guga akishuhudia.
Wakina dada wa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi20 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i0FHeHtTQ2k/XkbrSuWbhVI/AAAAAAALdeM/ryQom5N-Tu0S3SNVQQLoLaEuer_l_HjfQCLcBGAsYHQ/s72-c/DODOMA%2BHEADEDPAPER.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI 420 WA KITANZANIA WALIOKO KATIKA MJI WA WUHAN NCHINI CHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i0FHeHtTQ2k/XkbrSuWbhVI/AAAAAAALdeM/ryQom5N-Tu0S3SNVQQLoLaEuer_l_HjfQCLcBGAsYHQ/s640/DODOMA%2BHEADEDPAPER.jpg)
Dare Es Salaam, 14 Februari 2020
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuwaondoa hofu na taharuki Watanzania hususan wazazi, ndugu na jamaa wa wanafunzi takribani 420 walioko katika jimbo la Hubei, mji wa Wuhan Nchini China, ambapo ndio kitovu cha maambukizi ya virusi vya homa ya Corona (COVID-19) kuwa hadi sasa hakuna mwanafunzi au Mtanzania yeyote aliyebainika kuambukizwa virusi hivyo na kuwasihi kuendelea kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kufuatilia hali...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0afnedKAWjQ/VSVLyz4WxwI/AAAAAAABrNg/W4Vw3bqv0W4/s1600/NO%2B20.jpg)
WANAFUNZI WA TANZANIA WANAOSOMA CHINA WAPATA VIONGOZI WAPYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M3zzODP0ngg/VSVL1Dc0BcI/AAAAAAABrNo/I5kJpbbr5ts/s72-c/NO%2B9.jpg)
Wanafunzi wa Tanzania Wanaosoma Mjini Beijing China wachagua viongozi wapya
![](http://3.bp.blogspot.com/-M3zzODP0ngg/VSVL1Dc0BcI/AAAAAAABrNo/I5kJpbbr5ts/s1600/NO%2B9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0afnedKAWjQ/VSVLyz4WxwI/AAAAAAABrNg/W4Vw3bqv0W4/s1600/NO%2B20.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma mjini Beijing China wapata viongozi wapya
![](http://3.bp.blogspot.com/-0afnedKAWjQ/VSVLyz4WxwI/AAAAAAABrNg/W4Vw3bqv0W4/s1600/NO%2B20.jpg)
Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M3zzODP0ngg/VSVL1Dc0BcI/AAAAAAABrNo/I5kJpbbr5ts/s1600/NO%2B9.jpg)
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo na kuwapata Viongozi wapya baada ya kuchagulia kwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka 2015/2016
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7Px9tx2VPWY/VHJd-J0_F6I/AAAAAAAGzCQ/VAKbs6IFoo8/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
WANAFUNZI WA KITANZANIA WUHAN CHINA WASHIRIKI MAONESHO YA UTAMADUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Px9tx2VPWY/VHJd-J0_F6I/AAAAAAAGzCQ/VAKbs6IFoo8/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dMhvoKYTT8Q/UvjY5nG03eI/AAAAAAAFMLs/PJ8Ngf6ePJk/s72-c/New+Picture+(6).bmp)
TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUHUSU WAFUNGWA WA KITANZANIA NCHINI CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-dMhvoKYTT8Q/UvjY5nG03eI/AAAAAAAFMLs/PJ8Ngf6ePJk/s1600/New+Picture+(6).bmp)
9 years ago
MichuziWANAFUNZI 70 WA UHANDISI NA UDAKTARI KUONDOKA NCHINI SEPTEMBA 22, 2015 KWENDA KWA MASOMO NCHINI CHINA
11 years ago
Habarileo11 Jan
Waonywa kutoozesha watoto wao wanaosoma
WAZAZI wametakiwa kuitumia fursa ya elimu kwa watoto wa kike na kuachana na tabia ya kuwaozesha wakati wanaendelea na masomo kwani kufanya hivyo ni kudumaza maendeleo yao.