Waonywa kutoozesha watoto wao wanaosoma
WAZAZI wametakiwa kuitumia fursa ya elimu kwa watoto wa kike na kuachana na tabia ya kuwaozesha wakati wanaendelea na masomo kwani kufanya hivyo ni kudumaza maendeleo yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_uyzeiQZDas/VI6Z1de2rkI/AAAAAAACwc8/SZjjL_PsDLA/s72-c/Viongozi.jpg)
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma mjii wa Nanchang nchini China waanzisha umoja wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-_uyzeiQZDas/VI6Z1de2rkI/AAAAAAACwc8/SZjjL_PsDLA/s1600/Viongozi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zYXNzr0fDCk/VI6ZuqT6-fI/AAAAAAACwcs/xSYhcEhmMxU/s1600/wadau%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aD8hHkHQY7Q/VI6cRno307I/AAAAAAACwdo/iyY3JgmGLfc/s1600/Kukata%2Bkeki.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OsdSxUa1CXw/VI6Zwh5WxII/AAAAAAACwc0/qP8k671UAJo/s1600/wadau.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wasiopeleka watoto wao shule kusakwa
WANAFUNZI 725 kati ya 1,409 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu, wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, hawajaripoti katika shule walizopangiwa ambapo hadi sasa walioripoti 684 tu.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Watakiwa kusomesha zaidi watoto wao
10 years ago
Mwananchi26 May
Watoto 600 wapotezana na wazazi wao
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao
WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Wazazi wahimizwa kufuatilia watoto wao
WAZAZI wametakiwa kufuatilia nyendo za watoto ili kudhibiti kuporomoka kwa maadili kunakosababishwa na utandawazi.
9 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUTOWAACHIA WATOTO WAO MITANDAO
Wanafunzi wa Shule ya New Ligh ya chekechea ya Mji mdogo wa Mireani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye mahafaliya kujiunga na darasa la kwanza kwenye shule hiyo
Na Woinde Shizza.WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kutowaachia huru watoto wao kujihusisha na mitandao ya kijamii, kwani baadhi ya mitandao hiyo inachangia kwa kiasi kikubwa kubadili maadili yao na kusababisha wawe na tabia mbaya.
Meneja wa shule ya msingi New Light ya mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Walalamikia watoto wao kuhusishwa na 'Panya road'
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kova-14Jan2015.jpg)
Idadi hiyo imeongezeka katika mkoa wa kipolisi Temeke ambapo kwenye operesheni ya juzi wahalifu hao walikamatwa 47 na kuongeza idadi ya kufikia 1,4 38.
Aidha vijana hao walikamatwa ni pamoja na wapiga...