Watoto 600 wapotezana na wazazi wao
>Zaidi ya watoto 600 wakimbizi kutoka Burundi wamepotezana na wazazi wao katika harakati za kukimbia nchi yao au kuhamishwa kutoka kambi moja kwenda nyingine mkoani Kigoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Wazazi wahimizwa kufuatilia watoto wao
WAZAZI wametakiwa kufuatilia nyendo za watoto ili kudhibiti kuporomoka kwa maadili kunakosababishwa na utandawazi.
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao
WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...
9 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUTOWAACHIA WATOTO WAO MITANDAO
Wanafunzi wa Shule ya New Ligh ya chekechea ya Mji mdogo wa Mireani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye mahafaliya kujiunga na darasa la kwanza kwenye shule hiyo
Na Woinde Shizza.WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kutowaachia huru watoto wao kujihusisha na mitandao ya kijamii, kwani baadhi ya mitandao hiyo inachangia kwa kiasi kikubwa kubadili maadili yao na kusababisha wawe na tabia mbaya.
Meneja wa shule ya msingi New Light ya mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani...
5 years ago
MichuziWAZAZI KUWAJIBISHWA KWA MATENDO HASI YA WATOTO WAO
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Asilimia 49 ya wanaume Tanzania, si wazazi halali wa watoto wao
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika maabara yetu zinazohusu...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s72-c/BABY.jpg)
MAKADIRIO YA WATOTO WANAOZALIWA NA KUPEWA KWA WAZAZI WASIO WAO KIMAKOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s1600/BABY.jpg)
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao