WAZAZI KUWAJIBISHWA KWA MATENDO HASI YA WATOTO WAO
Chifu wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi, SACP Engelbert Kiondo akitoa mada mpango wa Polisi Kata kama mfumo wa utendaji wa kazi za Polisi kwa sasa wakati wa mkutano wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma, mkutano uliowahusisha pia Maafisa Tarafa, Wakaguzi wa Polisi wa Tarafa, watendaji wa Kata pamoja na Askari Polisi wa Kata. Kulia ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC MSHAMA AWATAKA WAZAZI WASIZIME NYOTA YA ELIMU KWA WATOTO WAO
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amewaasa wazazi na walezi , wilayani hapo kuwekeza katika elimu kwa watoto wao ili kuondokana na ujinga kwa manufaa ya maisha yao ya baadae.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aidha ameitaka ,jamii kujenga tabia ya kujitolea kuchangia kwenye elimu ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta hiyo badala ya kuiachia serikali na wadau pekee.
Akitoa shukrani zake baada ya kukabidhiwa cheti kwa kupongezwa mchango wake kwenye elimisha Kibaha, cheti ambacho...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s72-c/BABY.jpg)
MAKADIRIO YA WATOTO WANAOZALIWA NA KUPEWA KWA WAZAZI WASIO WAO KIMAKOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s1600/BABY.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Mwananchi26 May
Watoto 600 wapotezana na wazazi wao
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao
WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Wazazi wahimizwa kufuatilia watoto wao
WAZAZI wametakiwa kufuatilia nyendo za watoto ili kudhibiti kuporomoka kwa maadili kunakosababishwa na utandawazi.
9 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUTOWAACHIA WATOTO WAO MITANDAO
Wanafunzi wa Shule ya New Ligh ya chekechea ya Mji mdogo wa Mireani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye mahafaliya kujiunga na darasa la kwanza kwenye shule hiyo
Na Woinde Shizza.WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kutowaachia huru watoto wao kujihusisha na mitandao ya kijamii, kwani baadhi ya mitandao hiyo inachangia kwa kiasi kikubwa kubadili maadili yao na kusababisha wawe na tabia mbaya.
Meneja wa shule ya msingi New Light ya mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Asilimia 49 ya wanaume Tanzania, si wazazi halali wa watoto wao
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika maabara yetu zinazohusu...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao