Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao
Taarifa nyingi kila kukicha kuhusu virusi vya corona vinawafanya watu wengi kuwa na hofu, watoto wakiwa miongoni mwao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZAZI WANAPASWA KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO WALIO CHINI YA MIAKA MITANO KUEPUSHA HATARI INAYOWEZA KUWAKABILI.
PATRICIA KIMELEMETA
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu ukweli wa madai ya kinyesi cha ng'ombe hutibu virusi
Kuna imani nyingi zinazosambaa mtandaoni juu ya tiba ya corona, mpaka kinyesi cha ng'ombe kinahusishwa.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa corona.
Polisi nchini Marekani wanadai huenda mauaji hayo ni ya kimapenzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
NA PATRICIA KIMELEMETA
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto
Wazazi wengi hawazingatii madhara ya kuwa na watoto walionenepa kupita kiasi.
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Ukweli juu ya madai ya kinga ya Vitamini C
Kumekuwa na dhana potofu nyingi za kinga, fahamu ukweli wa Vitamini C.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
Je ni kweli kuwa kemikali za kuua vijidudu zinaweza kuua virusi vya corona?
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDsut8U_jLA/VlrdlMB0XYI/AAAAAAAAKX4/pqw5bmIuzlY/s320/IMG_20151128_132253.jpg)
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili
Utafiti uliofanywa Ulaya umebainisha ni nadra sana kutokea kwa vifo miongoni mwa watoto walioambukizwa virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania