Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).

NA PATRICIA KIMELEMETA
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao

WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...

 

5 years ago

Michuzi

PICNIC ILIVYOJIPANGA KUWALINDA WATEJA WAO NA UGONJWA WA CORONA

Na Woinde Shizza,Arusha
Uongozi wa bar maarufu ya picnic iliyopo katikati ya jiji la Arusha umeelezea mikakati mbalimbali ambayo wanaitekeleza kipindi hiki katika kupambana na janga la ugonjwa hatari wa  Corona.
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa bar hiyo, Bodia Kaaya alisema kwamba kufuatia janga la corona wao kama watoa huduma wamechukua hatua mbalimbali ikiwemo kuhakikisha wahudumu wao wanavaa barakoa muda wote wakati wa kutoa huduma.
Kaaya,alisema kwamba mbali na barakoa...

 

11 years ago

Michuzi

Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi.
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini  wametakiwa kuwekeza katika elimu ya  watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani  elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea  kwa nyakati tofauti  na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI TENGENI MUDA NA WATOTO WENU NA MUWAPE ELIMU JUU YA UGONJWA WA COVID-19

Baadhi ya washarika wakiwa wanatawanyika mara baada ya ibada ya kwanza katika KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati Jimbo la Arusha Mashariki Usharika wa EngarenarokNaibu Katibu mkuu  Misioni na Uinjilisti Dayosisi kaskazini Kati Jackson Kahembu akinawa mikono mara baada ya kumalizika kwa ibada ya kwanza kama anavyoonekana katika picha.
Baadhi ya washarika wakiwa wanatawanyika mara baada ya ibada ya kwanza katika KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati Jimbo la Arusha Mashariki Usharika wa Engarenarok

 

5 years ago

Michuzi

TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).

Wakati serikali ikihamasisha suala la usafi hasa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni sambamba na uvaaji wa Barakoa (Mask),Lakini bado baadhi ya wananchi  hawalichukulii kwa uzito suala hilo ili kupambana na maambuzi ya ugonjwa wa Corona unaosababishwa na virusi vya COVID 19. Pichani ni waendesha pikipiki almaarufu Bodaboda wakiosha pikipiki zao katika dimbwi la maji lililopo Mtaa wa Majengo - Mbezi kwa Msuguli,hali ambayo inanahatarisha usalama wa afya zao na Wengine. Picha na Cathbert...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akimkabidhi Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Elisha Osati, mfano wa hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 30,  ikiwa ni mchango wa Benki ya CRDB kusaidia kampeni ya kuelimisha juu ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya Corona. Makabidhiano hayo yalifanyika katika tawi la Benki ya CRDB Azikiwe, jijini Dar es Salaam leo.
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao

Taarifa nyingi kila kukicha kuhusu virusi vya corona vinawafanya watu wengi kuwa na hofu, watoto wakiwa miongoni mwao.

 

5 years ago

Michuzi

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).

Kupongeza  juhudi za Serikali dhidi ya Mapambano ya Mlipuko wa Maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona

Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)


Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.

Rai hiyo imetolewa hivi karibuni  na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu  wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha  mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani