Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s72-c/ki.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi.
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8EvDs0YHRms/U1OPdMymSWI/AAAAAAAFb9E/rgImeR2yjxA/s72-c/55.jpg)
MAMA KIKWETE AWAHIMIZA WALEZI NA WAZAZI KUWAPATIA WATOTO UJI NA UGALI WA DONA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8EvDs0YHRms/U1OPdMymSWI/AAAAAAAFb9E/rgImeR2yjxA/s1600/55.jpg)
Wazazi na walezi wameshauriwa kuwapa watoto uji na ugali wa unga wa dona na siyo sembe kwakuwa unga wa dona una kiini cha mahindi ambacho kinakirutubisho kinachosaidia ukuaji na uwezo wa akili ya binadamu.
Ushauri huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika matawi ya Mnazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC MSHAMA AWATAKA WAZAZI WASIZIME NYOTA YA ELIMU KWA WATOTO WAO
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amewaasa wazazi na walezi , wilayani hapo kuwekeza katika elimu kwa watoto wao ili kuondokana na ujinga kwa manufaa ya maisha yao ya baadae.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aidha ameitaka ,jamii kujenga tabia ya kujitolea kuchangia kwenye elimu ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta hiyo badala ya kuiachia serikali na wadau pekee.
Akitoa shukrani zake baada ya kukabidhiwa cheti kwa kupongezwa mchango wake kwenye elimisha Kibaha, cheti ambacho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
11 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU
-============ Na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s72-c/337.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WAZAZI KUWAPOKEA WATOTO WAO WALIOACHANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s640/337.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFSCivhx7ok/VYFTmGsdmFI/AAAAAAABAKs/3P3jpxq5mvY/s640/348.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s72-c/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
DC LUDEWA AWASISITIZA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAPATA ELIMU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s640/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j4G00-WWrzE/Xr0fJszCF5I/AAAAAAALqK4/Qur5F1JoGFMxqRcU6jibKTPgncC8VcRoACLcBGAsYHQ/s640/0ee5a40c-557c-42a9-9280-0091e3f2c9eb%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZEXrKEFIoU/Xr0fJ64AJ7I/AAAAAAALqK8/swDbAYagS1kRiySUXCpuB2MhVLdYc2IUgCLcBGAsYHQ/s640/2c188978-fc3d-4ed4-b9bb-32e14222c811.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vHGYXYXb9Lg/Xr0fLOuB_aI/AAAAAAALqLE/P57Zwo4ty3kAdpgL9evfkHlyZhYmfpbIQCLcBGAsYHQ/s640/a7f6f638-f38e-4d2d-be88-50de3237c566.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZBwGXAoIOLc/VH2jBwJZl5I/AAAAAAAG0xg/aheg_imKBsc/s72-c/1.jpg)
Wazazi nchini waaswa kuzungumza na watoto wao juu ya elimu na swala zima la maisha
Hayo yamesema na Mkurugenzi wa Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) Lulu Ng'wanakilala katika maadhimisho ya kupinga unyanyasajji kwa watoto pamoja na maambukizi ya ukimwi nchini.
"Wazazi na jamii kwa ujumla wanapaswa kukemea tabia ya unyanyasaji hasa wanafunzi wanaofanyiwa na makondakta wa...