BALOZI SEIF AWATAKA WAZAZI KUWAPOKEA WATOTO WAO WALIOACHANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s72-c/337.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akisalimiana na mmoja kati ya Vijana sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za Kulevya katika Kijiji cha Fujano hapo katika Viunga vya vya Skuli ya Fujoni. Kati kati yao ni Mwakilishi wa Umoja wa kusaidia mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya na Pombe Tanzania Bwana Abdulrahman Mohammed Abdulla.
Mwakilishi wa Umoja wa kusaidia mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya na Pombe Tanzania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3YC4NE0ACdM/VYE-gf6MYLI/AAAAAAAHgY8/AcarWeYmBx0/s72-c/337.jpeg)
WAZAZI WAMEASWA KUWAPOKEA VIJANA WAO WALIOAMUA KUACHA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi ametoa wosia huo wakati wa kuwapokea Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni walioamua kuacha kutumia Dawa za kulevya na kupata mafunzo watakayoyatumia kuwasomesha wenzao kuachana na Dawa hizo hapo katika...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Wazazi waaswa kuwapokea vijana waoo walioamua kuacha matumizi ya dawa za kulevya
Balozi Seif akizungumza na baadhi ya Wananchi mara ya kukabidhiwa Vijana Sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za kulevya waliokuwa wakipata mafunzo kwenye Kituo cha Mombasa nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Sheha wa Shehia ya Fujoni Bwana Said Mgeni Bakari na wa kwanza kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Khamis na Mke wa Mbunge wa Jimbo la Kitope Mama Asha Suleiman Iddi.
Na Mwandishi Wetu.
Wazazi wameaswa kuwa tayari...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcOHm_n-31E/U_MarajqlKI/AAAAAAAGArY/UjO1jGuNT6Q/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora - Balozi Seif Ali Iddi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo.
Balozi Seif alisema elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC MSHAMA AWATAKA WAZAZI WASIZIME NYOTA YA ELIMU KWA WATOTO WAO
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amewaasa wazazi na walezi , wilayani hapo kuwekeza katika elimu kwa watoto wao ili kuondokana na ujinga kwa manufaa ya maisha yao ya baadae.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aidha ameitaka ,jamii kujenga tabia ya kujitolea kuchangia kwenye elimu ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta hiyo badala ya kuiachia serikali na wadau pekee.
Akitoa shukrani zake baada ya kukabidhiwa cheti kwa kupongezwa mchango wake kwenye elimisha Kibaha, cheti ambacho...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s72-c/ki.jpg)
Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s1600/ki.jpg)
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rMZ-YWec78k/XlaN0jUnIhI/AAAAAAALflE/1HkjTAISwYwQ5zbmaJRfgNeVt9LpG30bwCLcBGAsYHQ/s72-c/424.jpg)
Zanzibar kufanya marekebisho ya sheria ya dawa za kulevya - Balozi Seif
Alisema hatua mbali mbali za kupambana, kukemea pamoja na kuchukia shughuli zote zinazoshajiisha matumizi ya Dawa za Kulevya zitapaswa kuchukuliwa kutokana na janga hili linaloikumba Dunia kwa kuathiri nguvu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MAADHIMISHO: Ray C alivyotiririsha machozi Mbeya kulaani matumizi dawa za kulevya