Zanzibar kufanya marekebisho ya sheria ya dawa za kulevya - Balozi Seif
![](https://1.bp.blogspot.com/-rMZ-YWec78k/XlaN0jUnIhI/AAAAAAALflE/1HkjTAISwYwQ5zbmaJRfgNeVt9LpG30bwCLcBGAsYHQ/s72-c/424.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kuifanyia marekebisho Sheria ya Dawa za Kulevya kwa kuzidisha adhabu kwa waingizaji, wasafirishaji na wasambazaji wa Dawa hizo zenye madhara yanayoeleweka kwa kina na wana Jamii.
Alisema hatua mbali mbali za kupambana, kukemea pamoja na kuchukia shughuli zote zinazoshajiisha matumizi ya Dawa za Kulevya zitapaswa kuchukuliwa kutokana na janga hili linaloikumba Dunia kwa kuathiri nguvu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s72-c/337.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WAZAZI KUWAPOKEA WATOTO WAO WALIOACHANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s640/337.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFSCivhx7ok/VYFTmGsdmFI/AAAAAAABAKs/3P3jpxq5mvY/s640/348.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU : Dawa ya Zanzibar ni Rais Magufuli kukubali kufanya kazi na Maalim Seif
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s72-c/526.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s1600/526.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ru4cN6P5Zlw/VmmD71j0vBI/AAAAAAAILeA/Yt01LdanYTw/s1600/527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-efmx5Ol8s8o/VmmD7wkNxWI/AAAAAAAILeE/o1Ij2lTb0Ms/s1600/536.jpg)
Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...
10 years ago
Habarileo08 Nov
Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja
SERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s72-c/814.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA TIBA NA MAREKEBISHO YA TABIA KWA VIJANA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s640/814.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xn1S6OJ98OE/VovY3QMn9HI/AAAAAAAIQqg/jrocdlVPRJU/s640/822.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Zanzibar isiwe shamba la dawa za kulevya
KAMA msimu wa mvua unavyokuja kwa kishindo na kuondoka pole pole, ndivyo ilivyo kwa suala la matumizi na biashara ya dawa za kulevya Zanzibar. Kwa mara nyingine tena suala la...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini
Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.
Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog
“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli
Wiki iliyopita Kitengo...