UKWELI UTAKUWEKA HURU : Dawa ya Zanzibar ni Rais Magufuli kukubali kufanya kazi na Maalim Seif
Kwa kawaida katika maisha ya kila siku kiburi na jeuri havimsaidii mwanadamu. Nimesoma kwenye magazeti habari inayogusa maisha ya Watanzania wengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wenye lengo kujihadhari dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyYXdfFv-FY/Xl4q_XswrAI/AAAAAAACz84/pRWS4MnV_tUWVS-_oS1x5Tf6DcaxgsMrgCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Nov
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Chadema mbioni kufa?
9 years ago
StarTV22 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif kujadili hali ya siasa Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amekutana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif Hamad Ikulu Jijini Dar es Salaam kujadili hali ya siasa inavyoendelea visiwani Zanzibar
Mazungumzo ya Viongozi hao yamehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi hawa kwa pamoja wamejadili hali ya kisiasa Zanzibar na wamefurahishwa na hali ya...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
UKWELI UTAKUWEKA HURU: CCM inapomwaga ugali, Ukawa inamwaga mboga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISonxCXB0P0/Xl4o_nXPn2I/AAAAAAALgpA/7EmgQnYa8mAjQs2byb_54H4zPTraWwCWwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9PF3XPue-E/Xl4o-qM69GI/AAAAAAALgo8/kkxWCa4YJBExnkVSGsvnu0jAUV8_aCrCgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Sep
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Wasira anatumia kigezo gani kuutamka ushetani wa wapinzani
11 years ago
Mwananchi21 May
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kweli Kinana shujaa, jasiri anayetoboa siri ya CCM
9 years ago
Mwananchi30 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani