WAZAZI TENGENI MUDA NA WATOTO WENU NA MUWAPE ELIMU JUU YA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AjqqUs1WYR4/XnethFr1I9I/AAAAAAAAQk4/DVAr0yNpGfg5ln7itAVz3a3VHLmH6j76QCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200322-WA0132.jpg)
Baadhi ya washarika wakiwa wanatawanyika mara baada ya ibada ya kwanza katika KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati Jimbo la Arusha Mashariki Usharika wa Engarenarok
Naibu Katibu mkuu Misioni na Uinjilisti Dayosisi kaskazini Kati Jackson Kahembu akinawa mikono mara baada ya kumalizika kwa ibada ya kwanza kama anavyoonekana katika picha.
Baadhi ya washarika wakiwa wanatawanyika mara baada ya ibada ya kwanza katika KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati Jimbo la Arusha Mashariki Usharika wa Engarenarok
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZBwGXAoIOLc/VH2jBwJZl5I/AAAAAAAG0xg/aheg_imKBsc/s72-c/1.jpg)
Wazazi nchini waaswa kuzungumza na watoto wao juu ya elimu na swala zima la maisha
Hayo yamesema na Mkurugenzi wa Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) Lulu Ng'wanakilala katika maadhimisho ya kupinga unyanyasajji kwa watoto pamoja na maambukizi ya ukimwi nchini.
"Wazazi na jamii kwa ujumla wanapaswa kukemea tabia ya unyanyasaji hasa wanafunzi wanaofanyiwa na makondakta wa...
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Wazazi msipokee mahari kwa ajili ya watoto wenu walioko shule
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2015/03/salma-kikwete-1-1200x545_c.jpg)
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanafunzi pamoja na wazazi wa shule ya Sekondari Bweni iliyopo kata ya Kanga wilaya ya Mafia mkoani Pwani.Mama Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema baadhi ya wazazi wanapokea mahari za watoto wao...
10 years ago
MichuziWAZAZI TUMIENI MDA MWINGI KUKUAA NA WATOTO WENU NA SIO KUWAACHIA WAFANYAKAZI.
Na Woinde Shizza,ArushaWito umetolewa kwa wazazi kutumia mda mwingi kukaa na watoto wao ili
kuwaepusha na vishawishi mbalimbali ambavyo wanaweza kuvipata.
Hayo yamebainishwa na Afisa ustawi wa jamii wa jiji la Arusha Saumukweka wakati akiongea na wazazi ,walimu na wanafunzi juu ya adharizinazoweza kumapata mtoto wakati kipiondi ambacho autaweza kuwa nae.
Alisema kuwa kumtelekeza mtoto kunaweza kusababishia vitu vingivikiwemo mimba za utotoni kwa upande wa watoto wa kiume kulawitiwapamoja na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvOyku9UFMWybzW-YWPuzGPPhHjm-uzbdPT8aEYwQgCXKqpgKcPtHW1r9N4i2yzzrNO4Z1P-wMxPLrDHGkbDPH1u/ELIMU.jpg)
UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC MSHAMA AWATAKA WAZAZI WASIZIME NYOTA YA ELIMU KWA WATOTO WAO
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amewaasa wazazi na walezi , wilayani hapo kuwekeza katika elimu kwa watoto wao ili kuondokana na ujinga kwa manufaa ya maisha yao ya baadae.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aidha ameitaka ,jamii kujenga tabia ya kujitolea kuchangia kwenye elimu ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta hiyo badala ya kuiachia serikali na wadau pekee.
Akitoa shukrani zake baada ya kukabidhiwa cheti kwa kupongezwa mchango wake kwenye elimisha Kibaha, cheti ambacho...