Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MG82WOhmsrQ/XnC-YQFiEAI/AAAAAAALkGs/sVhFJRvKCZsb9E8GS0DBjmJXxEZX2grjwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0027.jpg)
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATOA TAARIFA YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Baraka Shelukindo atoa tahadhari juu ya matapeli wa mitandaoni
Dear Friends
Napenda kutoa taarifa kwamba kumekuwa na tapeli mmoja ambae amekuwa akitumia picha zangu kwa kufungua facebook accounts kwa majina mbali mbali kama Justin Stan,James Brown,Onesmo,Felister Julius, Anthony Yohana au Yohana Anthony na mengineyo mengi.
Mtu huyu amekuwa akijenga urafiki na watu wasiotambua kuwa ni TAPELI katika mtandao wa kijamii wa Facebook
Urafiki ukiwa umekamilika kwa maana ya friends request kutoka kwake and acceptance kutoka kwa victim amekuwa akiwaambia...
9 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI WA AFYA DKT. SEIF RASHID KUHUSU HALI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/unnamed-43.jpg?width=650)
BARAKA SHELUKINDO ATOA TAHADHARI JUU YA MATAPELI WA MITANDAONI
9 years ago
MichuziJUMUIYA YA MAAFISA AFYA ZANZIBAR YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VIFAA TIBA, KAMBI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU CHUMBUNI ZANZIBAR.
9 years ago
VijimamboKUFUATIA KURIPOTIWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU KUINGIA MANISPAA YA DODOMA WANANCHI BADO HAWAJAWA NA ELIMU JINSI YA KUKABILIANA NAO
wakati ugonjwa wa kipindupindu ukiwa unazidi kushika kasi katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam huko mkoani dodoma nako inasadikika kwamba ugonjwa huo umekwisha gonga hodi huku wakazi wa maeneo mbalimbali wakionekana kusambasa...
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...