TAHADHARI YA POLISI JUU ZA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MG82WOhmsrQ/XnC-YQFiEAI/AAAAAAALkGs/sVhFJRvKCZsb9E8GS0DBjmJXxEZX2grjwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0027.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Jun
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-btO0pmTp-0M/Xt0QWFHTu8I/AAAAAAALs7M/iSozr6g_DIwXmZeK6bFlBwgvXTfE_MFBACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0350-2048x1369.jpg)
RC Wangabo aendelea kuelimisha wanarukwa juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-btO0pmTp-0M/Xt0QWFHTu8I/AAAAAAALs7M/iSozr6g_DIwXmZeK6bFlBwgvXTfE_MFBACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0350-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiongea na Wananchi wa kijiji cha Majengo, Kata ya Majengo, Wilayani Nkasi juu ya Ugonjwa wa Covid-19
********************************
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo ameendelea kuwatahadharisha wananchi wa mkoa huo juu ya uwepo wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid – 19) na kuwataka kuendelea kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pamoja na kufuata maelekezo yote ya wataalamu wa...
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Ubalozi wa Marekani Tanzania waendelea kutoa tahadhari juu ya maambukizi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)