WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakimsikiliza Afisa Afya, kutoka Wizara ya Afya, Yusuph Seif (Wa kwanza kulia) alipokuwa akitoa elimu ya Kujengwa Uelewa juu ya Ugonjwa wa Corona (COVID-19) kwa Watumishi hao, elimu hiyo imetolewa leo katika Ofisi za Wizara hii, Jijini Dodoma.
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakimsikiliza kwa makini Afisa Afya, kutoka Wizara ya Afya, Yusuph Seif (hayupo pichani) alipokuwa akisisitiza jambo kuhusiana na elimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH. HAMAD MASAUNI
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA RASMI WAZIRI CHARLES KITWANGA, WIZARANI LEO
9 years ago
MichuziUJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA IDARA YA WAKIMBIZI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-madZxo99PpE/XotLoyDKxjI/AAAAAAALmOY/SUNWmaguLzYB_1NBG4MaH7Y9fpNV58yEwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-A.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-madZxo99PpE/XotLoyDKxjI/AAAAAAALmOY/SUNWmaguLzYB_1NBG4MaH7Y9fpNV58yEwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-A.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-1B.jpg)
Bw.Yusuph Seif Afisa Afya wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akitoa mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kwa watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ambayo yamefanyika leo Mtumba Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2.jpg)
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakisikiliza mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya...
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...