TAHADHARI YA UGONJWA WA NIMONIA INAYOTOKANA NA CORONA VIRUS
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MG82WOhmsrQ/XnC-YQFiEAI/AAAAAAALkGs/sVhFJRvKCZsb9E8GS0DBjmJXxEZX2grjwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0027.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Benaya Kapinga amewataka wananchi kuchukua tahadhari na ugonjwa wa corona kwani Wilaya hii ipo mpakani
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Nimonia; Ugonjwa unaoua watoto wengi Karatu
>Nimonia au homa ya mapafu ni kati ya magonjwa makuu matano yanayosumbua na kupoteza maisha ya watu wakiwamo watoto walio chini ya miaka mitano wilayani Karatu mkoani wa Arusha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NdVTEPpoPuw/XoBQupvQk_I/AAAAAAALlcE/uFWRztSX39s3Zf7yuGfje1845oVVMnXkACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200328-WA0030.jpg)
MUATHIRIKA WA CORONA AWAITA MAPACHA WAKE 'CORONA' NA 'VIRUS'
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ANNAMARIA Jose Raphael Gonzales (34) raia wa Mexico ambaye pia alikumbwa na virusi vya Corona (Covid -19) amejifungua mapacha na kuwaita Corona na Virus mtandao wa World News, Daily report umeripoti.
Imeelezwa kuwa Annamaria alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya La Villa mjini Mexico na kujifungua mapacha hao wenye afya tele ambapo mtoto wa kike amepewa jina la Corona Jose Miguel Gonzales na kaka yake ameitwa Virus Jose Miguel Gonzales.
Annamaria...
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania