WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-apkBM6Gzb3o/XpQ9AMGOuRI/AAAAAAALm2c/tLAqb_UA9AsoNNz0zaNxhIAH3uEs-oNHgCLcBGAsYHQ/s72-c/f6e78647-f417-4e1b-bed4-3d88b9dbc3f0.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3538.jpg)
TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3538.jpg)
Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
1. Kwenye Vivuko:
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
10 years ago
MichuziTAMISEMI YATAKA KUONGEZA ZAIDI KIWANGO CHA TAHADHARI YA UGONJWA WA EBOLA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-7-768x510.jpg)
MAMBO YA NDANI YAENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-7-768x510.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa (Wa tatu kulia) akisisitiza matumizi ya kunawa mikono kwa baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19. Tukio hilo limefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Picha-2-10-1024x680.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MG82WOhmsrQ/XnC-YQFiEAI/AAAAAAALkGs/sVhFJRvKCZsb9E8GS0DBjmJXxEZX2grjwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0027.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0014.jpg)
WAFANYA KAZI WA SALUNI WAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0014.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0016.jpg)
Mfanyabiashara katika Soko la Shangwe Kigamboni Jijini Dar es Salaam akiendelea kumhudumia mteja wake huku akiwa amevaa Barakoa ikiwa ni sehemu ya kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0017.jpg)
Mkazi wa eneo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam akisafisha mikono yake kwa sabuni na maji safi yanayotiririka ikiwa ni sehemu ya...
10 years ago
Michuzi25 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...