UGONJWA WA CORONA (COVID-19) WASITISHA MIKUTANO YA WAANDISHI WA HABARI IKIWEMO SHUGHULI NYINGINE ZITAKAZOWAFANYA WAKUSANYIKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-apkBM6Gzb3o/XpQ9AMGOuRI/AAAAAAALm2c/tLAqb_UA9AsoNNz0zaNxhIAH3uEs-oNHgCLcBGAsYHQ/s72-c/f6e78647-f417-4e1b-bed4-3d88b9dbc3f0.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YRbabiy2Hs0/VAwXMUMZuxI/AAAAAAAGgwM/i5tzTicSBEs/s72-c/BUNGE-MAALUMU-LA-KATIBA.jpg)
WELEDI NA KUZINGATIA MAADILI YA UANDISHI WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALU LA KATIBA KUTALETA TIJA KWA WAANDISHI WA HABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YRbabiy2Hs0/VAwXMUMZuxI/AAAAAAAGgwM/i5tzTicSBEs/s1600/BUNGE-MAALUMU-LA-KATIBA.jpg)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
Kanuni za Bunge Maalum hususani Kanuni ya 77 inawataka waandishi wa habari kuandika habari za Bunge Maalum kwa weledi mkubwa na kuzingatia maadili ya uandishi wa habari ili kujiepusha na uandishi wenye utashi na ushabiki wa kisiasa, msukumo binafsi, chuki ama uchochezi na wakati mwingine uongo wa makusudi.
Aidha, katika Kanuni hiyo hiyo ya 77(3) inatamka bayana ya kuwa “Katibu anaweza wakati wowote kuondoa ruhusa aliyotoa kwa mwakilishi wa Chombo chochote...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Weledi na kuzingatia maadili ya uandishi wa shughuli za Bunge Maalum la Katiba kutaleta tija kwa waandishi wa habari
Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Itifaki wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari kuhusu kuimarisha Uandishi wa Habari za shughuli za Bunge iliyofanyika tarehe 6 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa African Dreams mjini Dodoma. Kulia ni Mshauri wa mambo ya Kiufundi toka Shirika la Kimataifa la UNDP, Bi. Anna Kochannesyan.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
Kanuni za Bunge Maalum hususani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebvuv6nDuvY/XoJJeW3NpoI/AAAAAAALlow/qCB5_S2xo18fsEy5csyajIBnygW8fij7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s72-c/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA TISHIO LA UGONJWA WA KIPINDUPINDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s640/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aW8MPYPblFY/VkW182oExQI/AAAAAAAAWcA/0s0UbpndgXI/s640/IMG_8390%2B%25281024x683%2529.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s72-c/costech.jpg)
COSTECH KUSIMAMIA RUZUKU YA KUPAMBANA NA UGONJWA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s640/costech.jpg)
Hayo yamesemw na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH), Dk.Amos Nungu wakati akizungumza na waandishi wa habari kupitia mtandao wa video leo. Amesema kuwa uratibu wa fedha hizo ni sehemu ya majukumu ya Tume hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta rasilimali fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s72-c/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s640/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...