COSTECH KUSIMAMIA RUZUKU YA KUPAMBANA NA UGONJWA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s72-c/costech.jpg)
RUZUKU ya zaidi ya shilingi bilioni 2 kusimamiwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH) ili kufanikisha Uchunguzi, Kinga na Tiba ya ugonjwa wa Corona (COVID-19).
Hayo yamesemw na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH), Dk.Amos Nungu wakati akizungumza na waandishi wa habari kupitia mtandao wa video leo. Amesema kuwa uratibu wa fedha hizo ni sehemu ya majukumu ya Tume hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta rasilimali fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
MichuziKATIKA SUALA ZIMA LA KUPAMBANA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
5 years ago
MichuziMDAHALO WA KIMATAIFA WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA WAENDESHWA NA TAGLA KWA NJIA YA VIDEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s72-c/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
JUMUIYA YA MABOHORA YAENDELEA KUPELEKA MISAADA HOSTELI YA MAGUFULI KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s640/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nV743Ng5Hu4/XpQPTQJHdEI/AAAAAAALm1E/-LKX_nCKg0IMCPO0cT2t9yE6F0WyD96igCLcBGAsYHQ/s640/32846d15-3fce-43e2-9ca5-05f96b16cad0.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YJPKGDa6AkY/Xm_Y7mkPHVI/AAAAAAALj_o/F9r_NNGKXogMZYhjUODh3z1D4omEC_v9wCLcBGAsYHQ/s72-c/61169a4f-356e-4270-8205-7564401a787f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Vodacom Tanzania PLC yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Kijiji kilicho Afrika Kusini chajiandaa kupambana na Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s72-c/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s640/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)