KATIKA SUALA ZIMA LA KUPAMBANA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
Baadhi ya waandishi wa habari wakipimwa kiwango cha joto katika jitihada za kukabiliana na virusi vya Corona(COVID-19) na Dauson Benastus Kutoka kampuni ya ulinzi ya kindai wakati wanahabari hao wakiwa kwenye majukumu yao ya kikazi leo March 23, 2020.(Picha zote,Emmanuel Massaka,Michuzi TV)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t3jAnO9KF2A/XqhD2pFLqVI/AAAAAAAAHHk/7woE_LEhby0kTwMUvhYzuNkHE1Kg7A47ACLcBGAsYHQ/s72-c/20200403_111820.jpg)
KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KATIKA SUALA ZIMA LA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t3jAnO9KF2A/XqhD2pFLqVI/AAAAAAAAHHk/7woE_LEhby0kTwMUvhYzuNkHE1Kg7A47ACLcBGAsYHQ/s640/20200403_111820.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BpBZ8TloquY/XqhD2rHFWAI/AAAAAAAAHHg/VFtkZ4yqMhocJQWyz8anAHmRx8d5UE2SQCLcBGAsYHQ/s640/20200406_103356.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QOfRIz7YodY/XqhBHeRug8I/AAAAAAAAHG4/A8-OObpCq7MHzrQQlUi5VeWr_-VH-Rw7gCLcBGAsYHQ/s640/20200425_083109.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-K90VNAlX0v0/XqhBHjOKMqI/AAAAAAAAHG8/SH22q_4ztOkDN74Lr-yJOtD6PU0_Z_KgQCLcBGAsYHQ/s640/20200425_083635.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7G8ffZTCqAo/XqhBL9d5LyI/AAAAAAAAHHA/so3T8Drv0-gqWcH8eEXDdhmd0l0OaRSpwCLcBGAsYHQ/s640/20200425_084014.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kG7H1-2123E/Xm-OYzIlaKI/AAAAAAAC8oQ/PpCSiEfRJo0wYTj0SbjBCisTruZIgo2jACLcBGAsYHQ/s72-c/d.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YJPKGDa6AkY/Xm_Y7mkPHVI/AAAAAAALj_o/F9r_NNGKXogMZYhjUODh3z1D4omEC_v9wCLcBGAsYHQ/s72-c/61169a4f-356e-4270-8205-7564401a787f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uLd1DlpNznU/XqRm3o8oYxI/AAAAAAALoOs/_1fCaxSTogs3Q-vQHg1RBPJq2ae-TF8SwCLcBGAsYHQ/s72-c/bbfd2aa4-a536-440e-9a7e-37068e77827d.jpg)
KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA CCM YAZINDUA USHONAJI WA BARAKOA CHUO CHA IHEMI MJINI IRINGA,YARAHISISHA UPATIKANAJI WAKE
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) Mama Queen Mlozi, amezindua ushonaji wa Barakoa (Mask) katika Chuo cha Mafunzo Ihemi cha CCM Mkoani Iringa.
Mama Queen Mlozi amefanya Uzinduzi huo leo tarehe 25 Aprili, 2020 akimuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally.
Katibu Mkuu wa UWT, akizundua utengenezaji huo wa Barakoa, ameeleza kuwa, "CCM imeamua kutengeneza barakoa kwa bei nafuu, kulinganisha na bei za maeneo mengine ili kutoa huduma na kuwasaidia wananchi kujikinga na...
Mama Queen Mlozi amefanya Uzinduzi huo leo tarehe 25 Aprili, 2020 akimuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally.
Katibu Mkuu wa UWT, akizundua utengenezaji huo wa Barakoa, ameeleza kuwa, "CCM imeamua kutengeneza barakoa kwa bei nafuu, kulinganisha na bei za maeneo mengine ili kutoa huduma na kuwasaidia wananchi kujikinga na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lZzNfXfVhV4/XsTn5u17QQI/AAAAAAALq5w/950m47biu_gZX3PL4eb-b-6ODbyOy2p9wCLcBGAsYHQ/s72-c/mboo.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s72-c/costech.jpg)
COSTECH KUSIMAMIA RUZUKU YA KUPAMBANA NA UGONJWA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s640/costech.jpg)
Hayo yamesemw na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH), Dk.Amos Nungu wakati akizungumza na waandishi wa habari kupitia mtandao wa video leo. Amesema kuwa uratibu wa fedha hizo ni sehemu ya majukumu ya Tume hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta rasilimali fedha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania