KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA CCM YAZINDUA USHONAJI WA BARAKOA CHUO CHA IHEMI MJINI IRINGA,YARAHISISHA UPATIKANAJI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-uLd1DlpNznU/XqRm3o8oYxI/AAAAAAALoOs/_1fCaxSTogs3Q-vQHg1RBPJq2ae-TF8SwCLcBGAsYHQ/s72-c/bbfd2aa4-a536-440e-9a7e-37068e77827d.jpg)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) Mama Queen Mlozi, amezindua ushonaji wa Barakoa (Mask) katika Chuo cha Mafunzo Ihemi cha CCM Mkoani Iringa.
Mama Queen Mlozi amefanya Uzinduzi huo leo tarehe 25 Aprili, 2020 akimuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally.
Katibu Mkuu wa UWT, akizundua utengenezaji huo wa Barakoa, ameeleza kuwa, "CCM imeamua kutengeneza barakoa kwa bei nafuu, kulinganisha na bei za maeneo mengine ili kutoa huduma na kuwasaidia wananchi kujikinga na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKATIKA SUALA ZIMA LA KUPAMBANA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Fahamu aina za barakoa zinazotoa ulinzi madhubuti dhidi ya maambukizi
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Chuo kikuu cha Hull Chabuni Barakoa
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B%25282%2529.jpg)
SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.
Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...
10 years ago
GPLCHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA
10 years ago
Dewji Blog24 May
SAGCOT yashika kasi kongani mwa Ihemi — Iringa na Njombe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dk. Rehema Nchimbi akifungua kikao kazi cha biashara ya kilimo kwa kongani ya Ihemi iliyoandaliwa na SAGCOT (Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania) kwa ushirikiano na UONGOZI Institute (Taasisi ya Uongozi Afrika kwa Maendeleo Endelevu) Iringa mjini. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Kilimo wa TCCIA Bi. Magadalena Mkocha, Mwenyikiti wa Bodi ya Agricultural Council of Tanzania Dk. Sinare Y. Sinare, DC wa Iringa Mh. Angeline Mabula, DC wa...