Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA

Mkuu wa wilaya Bukoba Deodatus Kinawiro akizungumza na wananchi wa mtaa wa Kisindi waliojitokeza katika uzinduzi wa vilula vya maji, leo.

Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.

Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Mongolandege, Martha Singano baada ya kuzindua mradi wa maji ya kisima katika mtaa huo Manispaa ya Ilala, ikiwa ni uzinduzi wa maadhimisho ya Wiki ya Maji. (Picha na Aron Msigwa, Maelezo).SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.

 

9 years ago

StarTV

Serikali ya awamu ya tano yajipanga kulitatua Tatizo La Upatikanaji Maji

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha inatatua suala la maji ambalo limekuwa likididimiza nguvu kazi za wananchi kutumia muda mwingi kutafuta maji na kutumia muda mchache katika shughuli za maendeleo.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo Mkoani Geita katika ziara yake ya kikazi ambapo amekuta miradi mbalimbali ya maji ikiendelea na baadhi ikiwa na changamoto kama za ukosefu wa fedha za kumalizia miradi hiyo na kuahidi kumaliza...

 

5 years ago

Michuzi

KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA CCM YAZINDUA USHONAJI WA BARAKOA CHUO CHA IHEMI MJINI IRINGA,YARAHISISHA UPATIKANAJI WAKE

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) Mama Queen Mlozi, amezindua ushonaji wa Barakoa (Mask) katika Chuo cha Mafunzo Ihemi cha CCM Mkoani Iringa.

Mama Queen Mlozi amefanya Uzinduzi huo leo tarehe 25 Aprili, 2020 akimuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa UWT, akizundua utengenezaji huo wa Barakoa, ameeleza kuwa, "CCM imeamua kutengeneza barakoa kwa bei nafuu, kulinganisha na bei za maeneo mengine ili kutoa huduma na kuwasaidia wananchi kujikinga na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaya milioni moja kunufaika na Tasaf

WASTANI wa kaya milioni moja ambazo zinaishi katika hali duni ya umasikini nchini, zimelengwa kuwezeshwa katika kujikimu kimaisha katika utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 2,944 masikini sana kunufaika

MPANGO wa kunusuru kaya masikini sana kupitia Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF lll) katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, unatarajia kunufaisha kaya 2,944.

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA UKANDA WA ZIWA NYASA KUNUFAIKA NA UPATIKANAJI WA TAARIFA MAALUM ZA HALI YA HEWA



Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bi. Theo Ntara  ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela (watatu kutoka kushoto), Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Hamza Kabelwa (wa nne kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha inayohusu uboreshaji wa huduma za hali ya hewa katika maeneo ya Ziwa Nyasa kwa sekta ya wakulima na wafugaji, wavuvi na wasafirishaji, tarehe 14 Mei 2015  katika hotel ya Kyela Resort-Mbeya
Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa kushirikiana na Shirika la Hali ya Hewa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino

Wakazi 12,280 wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamenufaika na ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyogharimu kiasi cha Sh5 bilioni kutoka Shirika la Kimataifa la Serikali ya Korea Kusini la Good Neighbours International (GNI).

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa kunufaika mgogoro wa madiwani Bukoba

>Athari za mgogoro wa kisiasa katika Manispaa ya Bukoba huenda zikaanza kuonekana katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu baada ya vyama vya upinzani kugawana maeneo ili kutumia mpasuko ndani ya CCM kushinda viti vingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani