WANANCHI WA UKANDA WA ZIWA NYASA KUNUFAIKA NA UPATIKANAJI WA TAARIFA MAALUM ZA HALI YA HEWA
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bi. Theo Ntara ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela (watatu kutoka kushoto), Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Hamza Kabelwa (wa nne kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha inayohusu uboreshaji wa huduma za hali ya hewa katika maeneo ya Ziwa Nyasa kwa sekta ya wakulima na wafugaji, wavuvi na wasafirishaji, tarehe 14 Mei 2015 katika hotel ya Kyela Resort-Mbeya
Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa kushirikiana na Shirika la Hali ya Hewa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANANCHI WA UKANDA WA ZIWA NYASA KUNUFAIKA NA UPATIKANAJI WA TAARIFA MAALUM ZA HALI YA HEWA KWA WAVUVI, WAKULIMA, WAFUGAJI NA WASAFIRISHAJI KWA WAKATI.
11 years ago
Habarileo03 Sep
RC: Wananchi msipuuze taarifa za hali ya hewa
WATENDAJI wa idara mbalimbali na wananchi wametakiwa kutopuuza taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), kupunguza madhara yanayotokea kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
10 years ago
StarTV01 Apr
Wananchi wahimizwa kufuatilia taarifa za hali ya hewa
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Wakati mvua za masika zikiendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imewataka wananchi kufuatilia kwa makini taarifa za hali ya hewa zinazotolewa na mamlaka hiyo ili kujihadhari na mvua kubwa zinazoweza kuleta maafa ya mafuriko katika msimu huu.
Mkurungezi wa Mamlaka ya hali ya hewa nchini Dokta Agnes Kijazi amesema mara nyingi kumekuwa na upuuzwaji wa taarifa hizo na mara baada ya majanga kutokea lamawa zimekuwa...
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

10 years ago
Michuzi.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
TMA KUJENGA VITUO VYA HALI YA HEWA KWENYE MAZIWA YA VICTORIA,TANGANYIKA NA NYASA
.jpg)
.jpg)
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imedhamiria kufungua Ofisi za Kutolea huduma za hali ya Hewa ili kupunguza ajali katika maziwa hapa...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Wananchi Malawi, Tanzania kuamua mpaka Ziwa Nyasa
MGOGORO wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi hautatuliwa kisheria, badala yake itakuwa kijamii kwa kuhoji wananchi wa pande husika. Mgogoro huo unahusu mpaka katika Ziwa Nyasa ambao sasa wananchi wa kila upande, watahojiwa juu ya madhara wanayodhani watapata kutokana na mpaka kuwa ndani ya ziwa hilo.
11 years ago
Michuzi23 Jun