Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?

Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe

Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mnyama aliyesambaza corona huenda asijulikane

Mnyama aliyesambaza virusi vya corona kutoka kwa popo hadi kwa binadamu huenda asijulikane, kwa mujibu wa wanasayansi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona

Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.

Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani inasikiliza kesi ambayo huenda ikaweka maelfu ya watu hasa watoto ambao waliingizwa nchini humo kinyume cha sheria na wazazi wao katika hatari ya kurejeshwa katika nchi zao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vitu gani tunaweza kujifunza kwa nchi ambazo zimepambana mapema na corona?

Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea kwa wimbi la pili baada ya kulegezwa kwa masharti

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani

Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO

Kumekuwa na takriban vifo 1,000 na zaidi ya maambukizi 18,000 barani Afrika kufikia sasa.

 

5 years ago

CCM Blog

WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA

  Shirika la Afya Duniani, WHO, limeonya kwamba bara la Afrika huenda likawa na idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Corona. 

WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani