Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe
Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Mnyama aliyesambaza corona huenda asijulikane
Mnyama aliyesambaza virusi vya corona kutoka kwa popo hadi kwa binadamu huenda asijulikane, kwa mujibu wa wanasayansi.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani inasikiliza kesi ambayo huenda ikaweka maelfu ya watu hasa watoto ambao waliingizwa nchini humo kinyume cha sheria na wazazi wao katika hatari ya kurejeshwa katika nchi zao.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya Corona: Vitu gani tunaweza kujifunza kwa nchi ambazo zimepambana mapema na corona?
Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea kwa wimbi la pili baada ya kulegezwa kwa masharti
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO
Kumekuwa na takriban vifo 1,000 na zaidi ya maambukizi 18,000 barani Afrika kufikia sasa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania