Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Wangabo aendelea kuelimisha wanarukwa juu ya ugonjwa wa Corona



Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiongea na Wananchi wa kijiji cha Majengo, Kata ya Majengo, Wilayani Nkasi juu ya Ugonjwa wa Covid-19

********************************

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo ameendelea kuwatahadharisha wananchi wa mkoa huo juu ya uwepo wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid – 19) na kuwataka kuendelea kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pamoja na kufuata maelekezo yote ya wataalamu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC Wangabo azunguka vijijini kutoa elimu ya Ugonjwa wa Corona

Katika kuhakikisha wananchi wa Mkoa wa Rukwa wanafahamu juu ya namna ya kujikinga na Ugonjwa hatari wa Corona, Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo ameanza kuzunguka katika vijiji vya Bonde la ziwa Rukwa katika Wilaya ya Sumbawanga na kutoa elimu juu ya tahadhari ya ugonjwa huo kwa wananchi wanaoishi katika maeneo hayo ikiwa ni hatua ya kuwataka wananchi hao kuachana na tabia, mila na desturi zitakazochangia kuenea kwa ugonjwa huo endapo utaingia nchini.

Wakati akielezea miongoni mwa mila...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA

Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wanaisaidia Serikali,katika kuhamasisha jamii kuhusiana na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa Covid-19.
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

 Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakimsikiliza Afisa Afya, kutoka Wizara ya Afya, Yusuph Seif (Wa kwanza kulia) alipokuwa akitoa elimu ya Kujengwa Uelewa juu ya Ugonjwa wa Corona (COVID-19) kwa Watumishi hao, elimu hiyo imetolewa leo katika Ofisi za Wizara hii, Jijini Dodoma.
 Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakimsikiliza kwa makini Afisa Afya, kutoka Wizara ya Afya, Yusuph Seif (hayupo pichani) alipokuwa akisisitiza jambo kuhusiana na elimu...

 

9 years ago

Michuzi

VYOMBO VYA HABARI VINAWAJIBU WA KUELIMISHA JUU YA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiVyombo vya habari vimetakiwa kushiriki katika maendeleo endendelevu ya yenye malengo 17 yanayoanza 2016 hadi 2030 ili kuweza wananchi kufahamu kila lengo na kuweza kufikia mabadiliko chanya.
Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu yanatokana na kuisha kwa malengo ya milenia ambayo yamekamilika mwaka huu na kufanya nchi 88 duniani kukaa pamoja na kuja malengo hayo lengo likiwa ni kukamilisha malengo ya milenia ambayo yamekamilika mwaka huu pamoja na kuboresha sekta...

 

5 years ago

Michuzi

RC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa CoronaMkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (aliyekaa katikati) pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa Benard Makali (Kushoto) na kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Emanuel Mtika katika Picha ya pamoja na baadhi ya Waganga wa Tiba Asili wa mkoa wa Rukwa. Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari


Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maelekezo kwa maafisa wa uhamiaji pamoja na watumishi wa mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia kuhakikisha wananchi wanaotumia mpaka huo wanazingatia...

 

5 years ago

Michuzi

Corona isiwe Kisingizio cha kutonunua kitambulisho cha Ujasiliamali- RC Wangabo

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewaasa wajasiliamali Mkoani Rukwa kutotaja ugonjwa wa Corona (Covid-19) kama kikwazo cha kushindwa kununua kitambulisho cha mjasilimali kwa mwaka huu 2020, kwani wananchi wa Tanzania walihimizwa kuendelea kuchapa kazi na Rais Dkt. John Pombe Magufuli hali ambayo ni tofauti na nchi nyingine ambapo wananchi wake walikuwa wamefungiwa.

Mh. Wangabo amekataza vitambulisho hivyo kuuzwa rejareja kwani jambo hilo huzalisha wadaiwa (defaulters) na hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani