RC Wangabo azunguka vijijini kutoa elimu ya Ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Katika kuhakikisha wananchi wa Mkoa wa Rukwa wanafahamu juu ya namna ya kujikinga na Ugonjwa hatari wa Corona, Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo ameanza kuzunguka katika vijiji vya Bonde la ziwa Rukwa katika Wilaya ya Sumbawanga na kutoa elimu juu ya tahadhari ya ugonjwa huo kwa wananchi wanaoishi katika maeneo hayo ikiwa ni hatua ya kuwataka wananchi hao kuachana na tabia, mila na desturi zitakazochangia kuenea kwa ugonjwa huo endapo utaingia nchini.
Wakati akielezea miongoni mwa mila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0044-768x513.jpg)
RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0044-768x513.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0113-1024x684.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE
![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s640/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
Muonekano wa chumba atakacholazwa mgonjwa wa Corona endapo atatokea, kilichopo katika jengo lililotengwa kwaajili ya wagonjwa hao katika kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma,
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/6bb0d8a5-9a3e-41e6-91a9-a111db4674cc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/861a53c7-bb7c-41b6-8201-996c994dbcb4.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa katika ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1924b07d-13db-49c1-b13e-3b6b6e6ae586.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-btO0pmTp-0M/Xt0QWFHTu8I/AAAAAAALs7M/iSozr6g_DIwXmZeK6bFlBwgvXTfE_MFBACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0350-2048x1369.jpg)
RC Wangabo aendelea kuelimisha wanarukwa juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-btO0pmTp-0M/Xt0QWFHTu8I/AAAAAAALs7M/iSozr6g_DIwXmZeK6bFlBwgvXTfE_MFBACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0350-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiongea na Wananchi wa kijiji cha Majengo, Kata ya Majengo, Wilayani Nkasi juu ya Ugonjwa wa Covid-19
********************************
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo ameendelea kuwatahadharisha wananchi wa mkoa huo juu ya uwepo wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid – 19) na kuwataka kuendelea kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pamoja na kufuata maelekezo yote ya wataalamu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Wadau wa maendeleo Njombe wafika vijijini kutoa elimu dhidi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s640/C.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0b_req1wjJo/XqbgCiLYy6I/AAAAAAALoWM/4M4T-y1pHkYXpDhkJsaMLeHyTnjUI2PewCLcBGAsYHQ/s640/A.png)
Miongoni mwa wadau hao ni Johson Mgimba na Lawi Mnyanga ambao wamefika katika kata ya Madilu wilayani Ludewa mkoani Njombe na kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali kupitia...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YJPKGDa6AkY/Xm_Y7mkPHVI/AAAAAAALj_o/F9r_NNGKXogMZYhjUODh3z1D4omEC_v9wCLcBGAsYHQ/s72-c/61169a4f-356e-4270-8205-7564401a787f.jpg)
11 years ago
Habarileo24 Jan
Azunguka duniani kuchangisha fedha za elimu
MTANZANIA mwenye ulemavu, Elvis Munisi anazunguka Marekani, Ulaya na Afrika kwa kutumia baiskeli akichangisha fedha za kuwezesha vijana wa Arusha na Kilimanjaro kupata elimu. Elvis (26), anasema lengo lake ni kuchangisha Sh milioni 140 ili kukamilisha ndoto yake hiyo na sasa ameweka kambi nchini Liberia.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM IRINGA WAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...