ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE
![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
Muonekano wa chumba atakacholazwa mgonjwa wa Corona endapo atatokea, kilichopo katika jengo lililotengwa kwaajili ya wagonjwa hao katika kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma,
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa katika ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akisisitiza jambo wakati akiongea na Wataalamu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q-s3GYQZV0w/XkYwNremM6I/AAAAAAALdVQ/kjY-ZlfLpwUNYjYY80nPF3ouOCGhjN6QACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-1021x580.png)
TANZANIA NI SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA -DKT NDUGULILE
Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa huo....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04hiM0YNvLQ/XrP1Dqg04XI/AAAAAAALpYY/TbVKZKQ01f4Lp10PxosJKrZxhGm37hUFACLcBGAsYHQ/s72-c/7292aaac-b68b-4f44-98cf-99803afe8dd5.jpg)
Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RC Wangabo azunguka vijijini kutoa elimu ya Ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Wakati akielezea miongoni mwa mila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MYqzs3rtb9c/VZT0eX5ewvI/AAAAAAAC8FQ/5INs1D4pF88/s72-c/0.jpg)
JK: PSPF ENDELEENI KUTOA ELIMU YA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MYqzs3rtb9c/VZT0eX5ewvI/AAAAAAAC8FQ/5INs1D4pF88/s640/0.jpg)
· Wengi wajiuga na Mpango huoRAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameushauri Mfuko wa Pensheni wa PSPF kuendelea kutoa elimu ya Mpango wa uchangiaji wa hiari kwa watanzania.
Mheshimiwa Rais alisema hayo mwishoni mwa wiki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s72-c/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s640/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/f20de537-5f8c-41e4-bfd4-7af3fc7841ae.jpg)
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7d025d66-c4a5-450c-9891-ceb0cc0b5666.jpg)
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0044-768x513.jpg)
RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0044-768x513.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0113-1024x684.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s640/1-63.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-B-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-A-1.jpg)
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oi3Qw4sSWNM/VeshvnGGiJI/AAAAAAAC-kA/k1nyyERWVIQ/s72-c/_MG_1725.jpg)
SITOKUWA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA KWA WANANCHI AMBAYO HAYATEKELEZEKI-DKT MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-oi3Qw4sSWNM/VeshvnGGiJI/AAAAAAAC-kA/k1nyyERWVIQ/s640/_MG_1725.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-914zNdlNbg0/Vesh2uNIYqI/AAAAAAAC-lQ/cCsEqKOoVfk/s640/_MG_1796.jpg)