WAZAZI TUMIENI MDA MWINGI KUKUAA NA WATOTO WENU NA SIO KUWAACHIA WAFANYAKAZI.
Na Woinde Shizza,ArushaWito umetolewa kwa wazazi kutumia mda mwingi kukaa na watoto wao ili
kuwaepusha na vishawishi mbalimbali ambavyo wanaweza kuvipata.
Hayo yamebainishwa na Afisa ustawi wa jamii wa jiji la Arusha Saumukweka wakati akiongea na wazazi ,walimu na wanafunzi juu ya adharizinazoweza kumapata mtoto wakati kipiondi ambacho autaweza kuwa nae.
Alisema kuwa kumtelekeza mtoto kunaweza kusababishia vitu vingivikiwemo mimba za utotoni kwa upande wa watoto wa kiume kulawitiwapamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Wazazi msipokee mahari kwa ajili ya watoto wenu walioko shule
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2015/03/salma-kikwete-1-1200x545_c.jpg)
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanafunzi pamoja na wazazi wa shule ya Sekondari Bweni iliyopo kata ya Kanga wilaya ya Mafia mkoani Pwani.Mama Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema baadhi ya wazazi wanapokea mahari za watoto wao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AjqqUs1WYR4/XnethFr1I9I/AAAAAAAAQk4/DVAr0yNpGfg5ln7itAVz3a3VHLmH6j76QCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200322-WA0132.jpg)
WAZAZI TENGENI MUDA NA WATOTO WENU NA MUWAPE ELIMU JUU YA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AjqqUs1WYR4/XnethFr1I9I/AAAAAAAAQk4/DVAr0yNpGfg5ln7itAVz3a3VHLmH6j76QCEwYBhgL/s320/IMG-20200322-WA0132.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j8pqqMU-n40/XneuS3iQpNI/AAAAAAAAQlY/CgPrf0nPqxY7MiOXT4b970B5vL4HOCxvgCEwYBhgL/s320/IMG-20200322-WA0118.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BEHWonkjVJg/XneuMsb5MVI/AAAAAAAAQlU/IO2xqxRSLRYUtfKe2fF9ziZ934YJrl85wCEwYBhgL/s320/IMG-20200322-WA0131.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-651dq9TukaA/XneuG8lKdiI/AAAAAAAAQk0/lF5CGEDQIL0XTzaMbsxGSvt9PVbDV6pKgCEwYBhgL/s320/IMG-20200322-WA0133.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Aug
Pinda: Vijana wanasayansi tumieni uwezo wenu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka vijana wanasayansi Tanzania na barani Afrika, kuhakikisha uwezo wao kitaaluma utumike kusaidia kuongeza thamani rasilimali zilizopo ardhini ili bidhaa zizalishwazo ziwe na thamani, badala ya kuuza malighafi.
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pxTnLR8AUfg/VhDwnWu0ezI/AAAAAAAH8sM/0Sg158VqpC8/s72-c/images.jpg)
MSIWAKEKETE WATOTO WENU - MAMA SALMA KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-pxTnLR8AUfg/VhDwnWu0ezI/AAAAAAAH8sM/0Sg158VqpC8/s640/images.jpg)
Mwito huo umetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akizindua uboreshaji wa Hospitali ya wilaya ya Tarime iliyopo mkoani Mara.
Mama Kikwete alisema ukeketaji unaleta matatizo makubwa ikiwa ni pamoja na kupata matatizo wakati wa kujifungua, mtoto wa kike kupata maumivu makali wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t7HIVHCdgEU/VQPw3oFYc3I/AAAAAAAHKOg/CgwykR-mM-I/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
MSIPOKEE MAHARI ZA WATOTO WENU WAKIWA WANAFUNZI - MAMA SALMA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7HIVHCdgEU/VQPw3oFYc3I/AAAAAAAHKOg/CgwykR-mM-I/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wauhonritNA/VQPw34a30LI/AAAAAAAHKOk/m0F-k_Sf9Rw/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4U9b5mataoQ/VQPw5GZPFiI/AAAAAAAHKOw/2_BXYN4FUxc/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jFbXf0X16Jw/VQPw5gqmHOI/AAAAAAAHKO4/ZRujUGI9ijA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10