Watoto wa kiume Culcutta sio dili
Polisi Mashariki mwa mji wa Calcutta nchini India, wanachunguza tukio la mwanamke ambaye huzaa watoto wa kiume watupu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili

9 years ago
Mtanzania17 Dec
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili
Na Mwandishi Wetu
KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.
Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...
11 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
Bongo Movies21 May
Sammy White : Nimeigiza Sio Dili Kuokoa Mauaji
Mwigizaji chipukizi wa Filamu za kibongo, Samson Samwel ‘Sammy White’ anafunguka kwa kusema kuwa anapaza kilio cha mauaji ya Albino kwa kuigiza filamu ya Sio Dili kama ni sehemu ya elimu kwa wauaji wa Albino kwa imani za kishirikina na ubaguzi kwa jamii yake yenye matatizo ya ngozi.
“Vifo vimeshamiri kwa sisi watu wenye matatizo ya Albinizim kama kuuliwa kwa imani za kishirikina mimi nasema Sio Dili, pia kuna unyanyapaa kwetu katika mahusiano na watu wengine unaweza kupendwa na binti ambaye...
9 years ago
Michuzi
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni
Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.
“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.
Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...
5 years ago
Michuzi
TUNAWAHARIBU WATOTO WA KIUME TUNAJENGA TAIFA GANI: SAMIA
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani humo.
Amewataka watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie kila mmoja kuwa katika mapambano haya ya kuondokana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii...
11 years ago
Dewji Blog27 Sep
Wachungaji watatu 3 jijini Arusha wanashikiliwa na polisi kwa kulawiti watoto 6 wakiwamo 2 wa jinsia ya kiume
Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas.
Na Mwandishi wetu
WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.
Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti na wachungaji watatu wa kanisa hilo lililopo eneo la Feed Force, Kwamrombo...