Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s72-c/blogger-image-1837786353.jpg)
Hili ni gari...Chukulia hili gari kama usafiri wako katika kuendesha mahusiano yako na yule mweza umpendae. Humu ndani ya gari kuna familia yako yote na wewe ndiye dereva...Njia utakayochagua kulipitisha hili gari,ndio njia watakayopita familia yako
Gari hili lina matairi yanayokaribia kugusa ardhi...ni kama unaendesha Lamboghini vile...Very delicate! Endesha gari lako katika Njia iliyonyooka,utakutana na mabonde na milima,lakini usipokwepa hivi na kuingia njia za uchochoroni usikojua kuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80982000/jpg/_80982292_img_8020.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NuFFYN7lkNQ/VN2OxVrxSGI/AAAAAAAHDZw/9XCT001fB18/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-HhLse75SmIMm0-FDKAGXBKRRoDkqjkDd36sKXp6a1XzL5vUreVc0yM3ACp5xSlyhHMFYh3WcWtnY3ruWL2JAo/Love.jpg)
VALENTINES DAY IMEFIKA, TUSIPOTOSHE MAANA YAKE
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili
Na Mwandishi Wetu
KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.
Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...
10 years ago
Bongo Movies21 May
Sammy White : Nimeigiza Sio Dili Kuokoa Mauaji
Mwigizaji chipukizi wa Filamu za kibongo, Samson Samwel ‘Sammy White’ anafunguka kwa kusema kuwa anapaza kilio cha mauaji ya Albino kwa kuigiza filamu ya Sio Dili kama ni sehemu ya elimu kwa wauaji wa Albino kwa imani za kishirikina na ubaguzi kwa jamii yake yenye matatizo ya ngozi.
“Vifo vimeshamiri kwa sisi watu wenye matatizo ya Albinizim kama kuuliwa kwa imani za kishirikina mimi nasema Sio Dili, pia kuna unyanyapaa kwetu katika mahusiano na watu wengine unaweza kupendwa na binti ambaye...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Skylight Band ilivyowabamba mashabiki wake ‘Valentines’s day’ ndani ya Thai Village
Mwanadada mrembo akipozi kwenye eneo maalum kukaribisha mashabiki wa Skylight Band kwa shots za Zappa na Tequila pamoja na ua aina ya Rose maalum kuonyesha upendo kwa wapenzi wao katika usiku maalum wa wapendanao uliofanyika jumamosi iliyopita ndani ya kiota cha maraha cha Thai Village….Skylight Band itaendelea kusambaza upendo Ijumaa ya leo, baada kurejea nyumbani salama wakitokea nchini Oman….Muda ule ule… uchakavu ule ule… mahali ni pale pale….Karibuni.
Mkali wa R & B Skylight Band,...