michepuko sio dili, baki njia kuu
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_w4DGMfq7n0/U3WVI8oOuOI/AAAAAAAFiDY/riVt9evez4o/s72-c/image.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s72-c/blogger-image-1837786353.jpg)
Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s640/blogger-image-1837786353.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxzB5L*D3o5007THwhoQLcIg0ah0CWXz-PcI8YrjBSSO0L8bn5JuNMHxYJi37-etCO9mXqJUElhGx2Fdk7dObSq7/GleeGirlsSexiestwomenof2010glee20938254460660.jpg?width=650)
SHOGA, MCHEPUKO NI UMALAYA BAKI NJIA KUU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnWRDfMGC1kZQ4Jnvk-x55PcAKoc2gKo*qyo0xmhOmqaJGybS83frZLWwCo6dt-cHqHlGihP1W8auBpNw9JWukB/image.jpeg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili
Na Mwandishi Wetu
KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.
Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...
10 years ago
Bongo Movies21 May
Sammy White : Nimeigiza Sio Dili Kuokoa Mauaji
Mwigizaji chipukizi wa Filamu za kibongo, Samson Samwel ‘Sammy White’ anafunguka kwa kusema kuwa anapaza kilio cha mauaji ya Albino kwa kuigiza filamu ya Sio Dili kama ni sehemu ya elimu kwa wauaji wa Albino kwa imani za kishirikina na ubaguzi kwa jamii yake yenye matatizo ya ngozi.
“Vifo vimeshamiri kwa sisi watu wenye matatizo ya Albinizim kama kuuliwa kwa imani za kishirikina mimi nasema Sio Dili, pia kuna unyanyapaa kwetu katika mahusiano na watu wengine unaweza kupendwa na binti ambaye...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni
Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.
“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.
Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...