MICHEPUKO NI HASARA,BAKI NJIA KUU UPATE FAIDA

Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 Feb
11 years ago
GPL
SHOGA, MCHEPUKO NI UMALAYA BAKI NJIA KUU
HEYA heya, acha nicheke miye kwani sidaiwi na mtu, navuta hewa ya bure ya nini kujibana, najiachia nitakavyo. Kama hewa ingekuwa inauzwa kama luku mbona wengi tungepumua kwa mahesabu kama wagonjwa wa pumu. Ushaanza kusema nina maneno mengi kama vile nimebemendwa, aiiih! Jamani mbona hivyo?
Kwani kucheka ni kwa wenye meno tu na siye wenye mapengo tusicheke? Tuvumiliane basi mate yakiwarukia muone kama pafyumu. Ushaanza...
11 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi
HII NDIO FAIDA YA MICHEPUKO BARABARANI


10 years ago
GPL
NJIA 3 ZA KUKUFANYA UPATE ELIMU BORA KUHUSU MAPENZI
Awali ya yote naomba niseme kwamba, safu hii ni kwa ajili yako wewe msomaji wangu. Huenda una jambo ambalo ungetamani nilijadili hapa au labda una tatizo linalokukosesha amani katika maisha yako ya kimapenzi, usisite kunitumia ujumbe kupitia namba zangu hapo juu nami nitakufanya uwe na amani. Mpenzi msomaji wangu, nilishawahi kusema huko nyuma kwamba mapenzi yanachukua sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya kila siku.Tunafanya kazi...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Faida na Hasara za majibizano katika mahusiano
Sidhani kama kuna ambaye hajawahi kujikuta kwenye majibizano na mpenzi wake. Hata wakati mnaingia katika mlipuko wa majibizano hata mnashindwa kujua sababu ya kujibizana kwenu.Vitu kama vile mmoja kuchelewa kurudi nyumbani, kushindwa kuwasiliana sawa na mwingine alivyotarajia, kushindwa kutoa msaada pale ulipohitajika, hisia za kuwapo kwa mahusiano pembeni, tabia zisizoeleweka baina ya mmoja na simu yake ya mkononi au ndugu zenu kuingilia uhusiano wenu kwa namna yoyote ile.
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Faida, hasara usajili ghali wa Man U
Wiki iliyopita, kocha wa zamani wa Manchester United, Alex Ferguson alisema timu sita ikiwamo Manchester United ndiyo zenye nafasi kubwa ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya England ingawa hakuitaja Liverpool.
10 years ago
GPL
FAIDA NA HASARA YA LIKIZO NA MUONGOZO WAKE-2
ITAKUMBUKWA kuwa mada hii tulianza nayo wiki iliyopita ambapo tulitazama baadhi ya dokezo muhimu za kuzingatia kwenye likizo, na mwisho tukakomea kwenye kifungu hiki: Mwanafunzi wangu, naamini utakuwa na swali juu ya mada hii: “Nifanye nini katika kipindi cha likizo ili nipate faida zote mbili?†Jibu liko kwenye vidokezo vitatu, KWANZA ni kwako mwanafunzi kujitambua, PILI kwa mwalimu wako na TATU kwa wazazi. Leo...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Faida na hasara za kuuza hisa wakati wa gawio
Kuanzia mwezi ujao kampuni nyingi ambazo zimeorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) zitaanza kutoa taarifa zao za fedha kwa umma kupitia magazeti mbalimbali, taarifa hizo zinakuwa ni za kuanzia mwaka wa fedha ulioishia 31 Desemba 2013.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania