Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili

Alex+MsamaNa Mwandishi Wetu

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe  wa neno la Mungu kwa jamii.

Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga mkoani Iringa inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe  wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...

 

10 years ago

GPL

AMA KWELI MCHEPUKO SIYO DILI

Dustan Shekidele, Morogoro
MH! ‘Haga gangi’ (haya mengine)!  Simon Manase (22) ambaye ni dereva wa bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Nguyami, wilayani Gairo mkoani hapa amecharangwa mapanga mwilini na kukatwa mkono wa kulia na mtu aliyetajwa kwa jina la Frank akidai kumfumania na mkewe vichakani. Kijana Simon Manase (22) aliyecharangwa mapanga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu vichakani. Ishu hiyo inadaiwa...

 

10 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!-2

Tunaendelea na mada yetu nzuri tuliyoianza wiki iliyopita. Somo tajwa hapo juu ni muhimu sana. Wanaume wamekuwa wakilifanya suala la mchepuko kuwa halali yao, wanawaona wanawake ni wakosaji pindi wanapochepuka. Mchepuko ni halali yao.
ENDELEA… Michepuko ikishakuwa mingi, ni rahisi kushindwa kupafomu vizuri nyumbani na hapo ndipo tatizo linapohamia kwa mke. Mke anakosa haki yake kwa muda mrefu, ataanza kumlalamikia mumewe...

 

10 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!

Bila shaka mu wazima wa afya wasomaji wa safi hii. Ni siku nyingine tena Mungu ametujalia tunakutana katika safu yetu na kujuzana mawili matatu yahusuyo maisha yetu ya uhusiano. Muhimu kupeana darasa maana ni moja ya kujifunza vitu vipya au kukumbushana vile ambavyo tayari tunavifahamu. Hakika hakuna asiyejua mchepuko katika kizazi cha leo. Watu wanachepuka kwenye ndoa na hata kwenye uchumba. Anayechepuka huwa akilini mwake ana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wa kiume Culcutta sio dili

Polisi Mashariki mwa mji wa Calcutta nchini India, wanachunguza tukio la mwanamke ambaye huzaa watoto wa kiume watupu.

 

11 years ago

Michuzi

Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili

Hili ni gari...Chukulia hili gari kama usafiri wako katika kuendesha mahusiano yako na yule mweza umpendae. Humu ndani ya gari kuna familia yako yote na wewe ndiye dereva...Njia utakayochagua kulipitisha hili gari,ndio njia watakayopita familia yako Gari hili lina matairi yanayokaribia kugusa ardhi...ni kama unaendesha Lamboghini vile...Very delicate! Endesha gari lako katika Njia iliyonyooka,utakutana na mabonde na milima,lakini usipokwepa hivi na kuingia njia za uchochoroni usikojua kuna...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo Movies

Sammy White : Nimeigiza Sio Dili Kuokoa Mauaji

Mwigizaji chipukizi wa Filamu za kibongo, Samson Samwel ‘Sammy White’ anafunguka kwa kusema kuwa anapaza kilio cha mauaji ya Albino kwa kuigiza filamu ya Sio Dili kama ni sehemu ya elimu kwa wauaji wa Albino kwa imani za kishirikina na ubaguzi kwa jamii yake yenye matatizo ya ngozi.

“Vifo vimeshamiri kwa sisi watu wenye matatizo ya Albinizim kama kuuliwa kwa imani za kishirikina mimi nasema Sio Dili, pia kuna unyanyapaa kwetu katika mahusiano na watu wengine unaweza kupendwa na binti ambaye...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni

Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.

“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.

Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani