Sammy White : Nimeigiza Sio Dili Kuokoa Mauaji
Mwigizaji chipukizi wa Filamu za kibongo, Samson Samwel ‘Sammy White’ anafunguka kwa kusema kuwa anapaza kilio cha mauaji ya Albino kwa kuigiza filamu ya Sio Dili kama ni sehemu ya elimu kwa wauaji wa Albino kwa imani za kishirikina na ubaguzi kwa jamii yake yenye matatizo ya ngozi.
“Vifo vimeshamiri kwa sisi watu wenye matatizo ya Albinizim kama kuuliwa kwa imani za kishirikina mimi nasema Sio Dili, pia kuna unyanyapaa kwetu katika mahusiano na watu wengine unaweza kupendwa na binti ambaye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies18 May
Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni
Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.
“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.
Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
11 years ago
Michuzi10 Feb
11 years ago
Michuzi![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s72-c/blogger-image-1837786353.jpg)
Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s640/blogger-image-1837786353.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili
Na Mwandishi Wetu
KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.
Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...
10 years ago
BBC News16 Mar
Murder suspect Sammy Almahri to be extradited
BBC News
BBC News
A man suspected of murdering a woman in a Cardiff hotel room on New Year's Eve will be extradited at the end of the month. Sammy Almahri, 44, from New York, went on the run after allegedly murdering Nadine Aburas, 28. The student's body was found at ...
Sammy Almahri to be extradited over New Year's Eve murder of Nadine Aburas ...South Wales Evening Post
Hotel murder suspect to be extradited from TanzaniaITV News
all 3
10 years ago
WalesOnline16 Mar
Nadine Aburas murder suspect Sammy Almahri to be extradited to UK from ...
WalesOnline
WalesOnline
A murder suspect will be extradited to the UK by the end of the month after he was arrested in Tanzania. Sammy Almahri, 44, was tracked down to the African nation in January, three weeks after the body of Nadine Aburas, 28, was found at the Future Inn hotel ...
Murder suspect Sammy Almahri to be extraditedBBC News
Sammy Almahri to be extradited over New Year's Eve murder of Nadine Aburas ...South...
10 years ago
BBC News06 Jan
Tanzania police in hotel murder hunt for Sammy Almahri
BBC News
BBC News
Police in Tanzania say they are actively looking for a man wanted in connection with the murder of a woman at a Cardiff hotel. Nadine Aburas, from Cardiff, was found at the Future Inn in December. South Wales Police have been looking for Sammy Almahri, ...