Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMA KWELI MCHEPUKO SIYO DILI

Dustan Shekidele, Morogoro
MH! ‘Haga gangi’ (haya mengine)!  Simon Manase (22) ambaye ni dereva wa bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Nguyami, wilayani Gairo mkoani hapa amecharangwa mapanga mwilini na kukatwa mkono wa kulia na mtu aliyetajwa kwa jina la Frank akidai kumfumania na mkewe vichakani. Kijana Simon Manase (22) aliyecharangwa mapanga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu vichakani. Ishu hiyo inadaiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili

Alex+MsamaNa Mwandishi Wetu

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga, mkoani Iringa, inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, amesema albamu hiyo ya Mchepuko sio dili ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe  wa neno la Mungu kwa jamii.

Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio...

 

11 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!-2

Tunaendelea na mada yetu nzuri tuliyoianza wiki iliyopita. Somo tajwa hapo juu ni muhimu sana. Wanaume wamekuwa wakilifanya suala la mchepuko kuwa halali yao, wanawaona wanawake ni wakosaji pindi wanapochepuka. Mchepuko ni halali yao.
ENDELEA… Michepuko ikishakuwa mingi, ni rahisi kushindwa kupafomu vizuri nyumbani na hapo ndipo tatizo linapohamia kwa mke. Mke anakosa haki yake kwa muda mrefu, ataanza kumlalamikia mumewe...

 

9 years ago

Michuzi

Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga mkoani Iringa inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe  wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...

 

11 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!

Bila shaka mu wazima wa afya wasomaji wa safi hii. Ni siku nyingine tena Mungu ametujalia tunakutana katika safu yetu na kujuzana mawili matatu yahusuyo maisha yetu ya uhusiano. Muhimu kupeana darasa maana ni moja ya kujifunza vitu vipya au kukumbushana vile ambavyo tayari tunavifahamu. Hakika hakuna asiyejua mchepuko katika kizazi cha leo. Watu wanachepuka kwenye ndoa na hata kwenye uchumba. Anayechepuka huwa akilini mwake ana...

 

10 years ago

Mwananchi

Unagombana na dili? ...Hizi siyo akili

Dah, kile kimvua cha juzi wanangu ilibaki hivi tu ...Kiduuuuchu nidedi kudadadeki, natoa hai kwa wanangu wote wa kitaa...mtu mzima niko fiti na magumashi yanasonga kama kawa...kama dawa na hivi ninavyokwambia, vere vere sun, Zee linakuwa hewani kupitia mdimuz.blogspot.com kuanzia mwezi ujao, ...sasa kuna jambo moja ntasisitiza.

 

11 years ago

GPL

AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE!

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
Amakweli dunia imekwisha! Watu wa Dar es Salaam wanasema uzee mwisho Chalinze, Dar es Salaam kila mtu baby, kauli hiyo ilitimia usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita baada ya mmiliki wa Gesti ya GLP ya Mabibo Mwisho jijini Dar es Salaam, Amos Makelle kunaswa kitandani usiku wa manane na mfanyakazi wake aitwae Tina. Babu Amos Makelle baada ya kunaswa akiwa kitandani  na mfanyakazi wake aitwae...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA KRISMAS DAR LIVE, AMA KWELI DIAMOND HAKUNAGA!

Stori: Waandishi Wetu
Pamoja na watu kuwa wengi hadi wengine kurudishwa nyumbani, lile Tamasha la Wafalme limekamilika na shoo kabambe iliyotolewa na wafalme wawili, mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye kila mtu alikubali kwamba hakuna kama yeye Bongo na mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akiwapagawisha mashabiki wake. Shoo hiyo ya kihistoria...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi ACT-Wazalendo: Je, Zitto vs Jussa ni mchuano wa kweli ama mipango ya ndani?

Tofauti na vyama vingine vya upinzani viongozi wakubwa wachukua fomu za kuchuana kwenye veo vikubwa ACT.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani