Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE!

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
Amakweli dunia imekwisha! Watu wa Dar es Salaam wanasema uzee mwisho Chalinze, Dar es Salaam kila mtu baby, kauli hiyo ilitimia usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita baada ya mmiliki wa Gesti ya GLP ya Mabibo Mwisho jijini Dar es Salaam, Amos Makelle kunaswa kitandani usiku wa manane na mfanyakazi wake aitwae Tina. Babu Amos Makelle baada ya kunaswa akiwa kitandani  na mfanyakazi wake aitwae...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Jhikoman katika tizi la Uzee mwisho Chalinze ndani ya Ujerumani

 Mwanamuziki maaruffu wa Reggae barani Afrika Jhikoman ambaye anatarajia kupanda jukwaani wiki hii katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen,2014,Germany. mwanamuziki (pichani) akiwa katika mazoezi ya viungo maarufu kama 'Uzee mwisho Chalinze' ndani ya Ujerumani. kwa wale wanataka kumpa Hi! +49(0)15211229655 Kilomita 10 kila asubuhi si mchezo

 

11 years ago

Michuzi

uzee mwisho wake ....?

Mlioko huku wote ma-Bebi...tehe tehe tehe....Inasemekana wazee wa Chalinze wamekata rufaa kutaka mpaka uwe Morogoro....

 

11 years ago

GPL

SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!

INAKUWA nini masela na maduu wa ukwehe? Ama nini? Kipande hii ni kama lasti wiki arifu. Chuma kingine kikali Bongo Muvi kaka mkubwa kabisa Tyson naye karesti ini pisi chaliiangu ndo maana dizaini kama mizuka ipo dauni kimtindo. Umepata lesoni gani mnyama wangu baada ya watu wetu wa nguvu kudedi fastafasta? Umkumbuke Saa Godi taimu yote katika kila mbishe unayopiga. Karibu kwenye hizi stori tamu za kitaani kwetu mazee. Tudei ngoja...

 

11 years ago

Michuzi

ULE USEMI WA " UZEE MWISHO CHALIZE" UMEPEWA JINA LA MAZOEZI YA KUKATA UZITO !

Kwa wasanii wao kila usemi ni sehemu ya maisha yao! Juzi baadhi ya wasanii huko Ughaibuni wameibuka kwa kuyabandika majina mazoezi ya kukata uzito au unene wa mwili " Zoezi hili sasa lipewa jina la "UZEE MWISHO CHALINZE" usemi ambao umebuniwa na msanii Joti wa Ze Komedi. Zoezi hilo maalumu la kupiga vita unene au minyama ya uzembe limeshaanza kufanyiwa kazi kisawa sawa na wasanii,mmojawapo ni mwanamuziki Jhikoman ambae kwa sasa ana ziara ndefu huko Ulaya Mwanamuziki Jhikoman akijifua...

 

10 years ago

GPL

AMA KWELI MCHEPUKO SIYO DILI

Dustan Shekidele, Morogoro
MH! ‘Haga gangi’ (haya mengine)!  Simon Manase (22) ambaye ni dereva wa bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Nguyami, wilayani Gairo mkoani hapa amecharangwa mapanga mwilini na kukatwa mkono wa kulia na mtu aliyetajwa kwa jina la Frank akidai kumfumania na mkewe vichakani. Kijana Simon Manase (22) aliyecharangwa mapanga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu vichakani. Ishu hiyo inadaiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto: Mwisho ama mwanzo.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, jana alitangaza kujiuzulu ubunge kwa kusambaza waraka kwa vyombo vya habari.

Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.

Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA KRISMAS DAR LIVE, AMA KWELI DIAMOND HAKUNAGA!

Stori: Waandishi Wetu
Pamoja na watu kuwa wengi hadi wengine kurudishwa nyumbani, lile Tamasha la Wafalme limekamilika na shoo kabambe iliyotolewa na wafalme wawili, mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye kila mtu alikubali kwamba hakuna kama yeye Bongo na mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akiwapagawisha mashabiki wake. Shoo hiyo ya kihistoria...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi ACT-Wazalendo: Je, Zitto vs Jussa ni mchuano wa kweli ama mipango ya ndani?

Tofauti na vyama vingine vya upinzani viongozi wakubwa wachukua fomu za kuchuana kwenye veo vikubwa ACT.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani