ULE USEMI WA " UZEE MWISHO CHALIZE" UMEPEWA JINA LA MAZOEZI YA KUKATA UZITO !
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkDvM3TOX0I/U4tXHqmfJjI/AAAAAAAFnCA/Gy5cqSTA_i4/s72-c/unnamed+(36).jpg)
Kwa wasanii wao kila usemi ni sehemu ya maisha yao! Juzi baadhi ya wasanii huko Ughaibuni wameibuka kwa kuyabandika majina mazoezi ya kukata uzito au unene wa mwili " Zoezi hili sasa lipewa jina la "UZEE MWISHO CHALINZE" usemi ambao umebuniwa na msanii Joti wa Ze Komedi. Zoezi hilo maalumu la kupiga vita unene au minyama ya uzembe limeshaanza kufanyiwa kazi kisawa sawa na wasanii,mmojawapo ni mwanamuziki Jhikoman ambae kwa sasa ana ziara ndefu huko Ulaya
Mwanamuziki Jhikoman akijifua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rbqcTFIAcRo/UySjxANAqSI/AAAAAAAFT40/3TfPX8NKPzQ/s72-c/134fe35f29168a0539d1e7830d2561ef.jpg)
uzee mwisho wake ....?
![](http://3.bp.blogspot.com/-rbqcTFIAcRo/UySjxANAqSI/AAAAAAAFT40/3TfPX8NKPzQ/s1600/134fe35f29168a0539d1e7830d2561ef.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_umLDZhcAxo/UwUVnItg4sI/AAAAAAAFOHY/pT_bxrRkVQE/s72-c/IMG_1484.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coTuGyNpPeSeoYVYUyVtyRO3d8Mh5yXxtmJVVeQaBoCV-NLWP51YQa3Q2Be*XC9UH9bOeEqgIxEebF3c3CEQxZQ/mpekeeno2.jpg)
SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT4CeOBZX2HfrTQzKGe92G9ykrNfmwLnaQ1BqZrkAwO-cPTGXBKNyJncjVcB*3uogWX2DyNMkmObK34EET2xOm5V/chalinze.jpg)
AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE!
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OtwbUp6YCm4/U8QyBRUIo3I/AAAAAAAF2Ls/WQBlBEGyAVU/s72-c/unnamed+(67).jpg)
Jhikoman katika tizi la Uzee mwisho Chalinze ndani ya Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-OtwbUp6YCm4/U8QyBRUIo3I/AAAAAAAF2Ls/WQBlBEGyAVU/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7KwSpZbAzoU/U8QyBZNAmpI/AAAAAAAF2MA/ZuGnYYcjfV8/s1600/unnamed+(68).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NOeuC8KtpyA/U8QyBeaJ8RI/AAAAAAAF2Lw/uliKug9sefE/s1600/unnamed+(69).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--PS6cLxeKhs/U8QyCl3WCtI/AAAAAAAF2L8/luoCs83CVGw/s1600/unnamed+(70).jpg)
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Mtibwa Sugar mwendo ni ule ule
NA ZAINAB IDDY
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, amesema licha ya kutofanya usajili katika kikosi chake hadi sasa katika usajili wa dirisha dogo, mwendo wao utakuwa ni ule ule kama walioanza nao Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
Katika msimamo wa ligi hiyo hadi sasa Mtibwa Sugar imecheza mechi tisa ambapo imeshinda mechi saba, sare moja na kupoteza mmoja.
Kwa matokeo hayo, Mtibwa inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 22 nyuma ya Yanga waliopo nafasi ya...
11 years ago
Mwananchi27 May
Samata moto ule ule TP Mazembe
9 years ago
Habarileo15 Sep
Kerr: Wembe ni ule ule
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema haoni sababu ya kushindwa kuondoka na pointi tatu nyingine kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga itakapocheza na Mgambo Shooting kesho.