VALENTINES DAY IMEFIKA, TUSIPOTOSHE MAANA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-HhLse75SmIMm0-FDKAGXBKRRoDkqjkDd36sKXp6a1XzL5vUreVc0yM3ACp5xSlyhHMFYh3WcWtnY3ruWL2JAo/Love.jpg)
Valentines Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, siku hiyo inazidi kuwa maarufu na kuadhimishwa kwa shangwe ingawa wengi hushindwa kuelewa hasa maana yake. Ukiwauliza wengi nini hasa maana ya Valentines Day, ni wachache wanaoweza kukueleza kwa ufasaha maana yake na kwa sababu hiyo, wengi wanakuwa na kawaida ya kuiadhimisha siku hiyo kwa mazoea tu,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80982000/jpg/_80982292_img_8020.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NuFFYN7lkNQ/VN2OxVrxSGI/AAAAAAAHDZw/9XCT001fB18/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
11 years ago
Michuzi![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s72-c/blogger-image-1837786353.jpg)
Kuelekea Valentines Day - Michepuko sio dili
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XAB24URlS9A/UvxaoBamBSI/AAAAAAAAtPo/wNXwX6vhdhQ/s640/blogger-image-1837786353.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Skylight Band ilivyowabamba mashabiki wake ‘Valentines’s day’ ndani ya Thai Village
Mwanadada mrembo akipozi kwenye eneo maalum kukaribisha mashabiki wa Skylight Band kwa shots za Zappa na Tequila pamoja na ua aina ya Rose maalum kuonyesha upendo kwa wapenzi wao katika usiku maalum wa wapendanao uliofanyika jumamosi iliyopita ndani ya kiota cha maraha cha Thai Village….Skylight Band itaendelea kusambaza upendo Ijumaa ya leo, baada kurejea nyumbani salama wakitokea nchini Oman….Muda ule ule… uchakavu ule ule… mahali ni pale pale….Karibuni.
Mkali wa R & B Skylight Band,...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Valentines Day: Je, unatafuta mpenzi - hizi hapa mbinu saba za kumtia 'kibindoni'
11 years ago
Michuzi20 Feb
HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK
![1 (5)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/1-5.jpg)
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-3
Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na tuliangalia utangulizi wa mada hii, leo ningependa kuendelea na vyanzo vinavyosababisha tatizo hilo.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume walio wengi:
Kujichua kwa muda mrefu
Mtu anapojichua anakuwa anaiminya mishipa inayosababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea hivyo linapokuja suala la kusimamisha uume, mwanaume husika anakuwa...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba
Tumekuwa tukitoa elimu muhimu juu ya afya zetu kupitia makala mbalimbali katika ukurasa huu, leo ningependa nianzishe mada muhimu na yenye mguso mkubwa kwa jamii ya wanaume wa karne hii ya sasa.
Tatizo la nguvu za kiume limekuwa likiwasumbua wanaume wengi na limekuwa ni chachu ya kuvunjia kwa ndoa nyingi. Japokuwa tatizo hili linatibika na mtu akareje katika hali yake ya kawaida, wanaume wengi wamekuwa wakiona aibu kufika katika vituo vya tiba au kuonana na matatibu ili kupata ufumbuzi wa...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-2
Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume linaweza kuwa na sababu za kihisia Emotional Causes lakini sababu nyingine hutokana na maradhi kama vile kisukari na shinikizo la juu la damu.
Inakadiriwa kuwa asilimia 50 hadi 60 ya wanaume wenye maradhi ya kisukari wana tatizo la uume kushindwa kusimama. Watu wanaosumbuliwa na kiharusi na ulevi nao wana hatari kubwa sana kwa sababu ya uharibifu wa korodani Testicles kutokana na ulevi sugu na kupoteza Testerone. Pombe hupunguza kwa kiasi kikubwa...