HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK
Honey akiwa amepozi pembeni ya kikapu maalum cha wapendanao, kilichosheheni zawadi mbali mbali.
Na.Mwandishi wetu
Honey Kaur Mair, ni msichana mwenye bahati. Bila shaka sikukuu yake ya wapendanao ilimalizika kwa furaha baada ya yeye na mumewe kuibuka kidedea wa shindano lililoandaliwa na kudhaminiwa na METL la Valentines Day Special Competition kupitia ukurasa wao wa Facebook. Pamoja na kuzawadia kikapu maalum cha wapendanao kilichosheheni zawadi kem kem, pia wapenzi hawa walipatiwa vocha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo22 Aug
ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA
![](http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/1844006/highRes/508026/-/maxw/600/-/11rp2sr/-/Thinking+Differently+-+Juma+Mwapachu.jpg)
I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s72-c/1.jpg)
SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-51jCQsUfTTI/U891D-BbUhI/AAAAAAAAaLY/cO73MoCYRxQ/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-my7Y5mcwXAQ/U891EJLx-QI/AAAAAAAAaLc/F0H73nNQP8o/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BmoMka0WJp0/U891Fp3XMmI/AAAAAAAAaLs/RkhLzNE9dFQ/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UfXelPFviQ/U891GAKUYqI/AAAAAAAAaMA/6VTi1C2bzV4/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9b_W2zWJhF8/U891GlVKBvI/AAAAAAAAaL0/Lez3Dk81esc/s1600/6.jpg)
9 years ago
VijimamboCAROLINA CHILELE AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
Mshindi wa Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 msimu wa nne akitoa neno la Shukurani kwa ushindi alioupata , Ameshukuru shirika la Oxfam kwa kuendesha shindano hilo na kuahidi kuwa atakwenda kuwa Balozi mzuri na kusema kuwa washiriki wote ni washindi na yeye amepata zawadi hiyo kuwawakilisha wote.
10 years ago
Bongo516 Jan
Benjamin Webi aibuka mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star Kenya
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Skylight Band ilivyowabamba mashabiki wake ‘Valentines’s day’ ndani ya Thai Village
Mwanadada mrembo akipozi kwenye eneo maalum kukaribisha mashabiki wa Skylight Band kwa shots za Zappa na Tequila pamoja na ua aina ya Rose maalum kuonyesha upendo kwa wapenzi wao katika usiku maalum wa wapendanao uliofanyika jumamosi iliyopita ndani ya kiota cha maraha cha Thai Village….Skylight Band itaendelea kusambaza upendo Ijumaa ya leo, baada kurejea nyumbani salama wakitokea nchini Oman….Muda ule ule… uchakavu ule ule… mahali ni pale pale….Karibuni.
Mkali wa R & B Skylight Band,...
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Mchezaji wa zamani wa Majimaji ya Songea, Mtawa Kaparata aibuka mshindi wa shindano la Tanzania Movie Talents mkoani Mbeya
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled40.jpg)
Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mbeya
Shindano la Tanzania Movie Talents Kwa kanda ya Nyanda ya Juu Kusini, Mkoani Mbeya limefikia Tamati hapo jana kwa washindi watatu kutoka kanda hii ya nyanda ya juu Kusini Kupatikana na Kutangazwa na Majaji watatu.
Washindi waliotangazwa na Jaji Mkuu wa Shindano hilo, Roy Sarungi kwa kushirikiana na Majaji wawili Single Mtambalike na Yvonne Chery ni Steven Mapunda, Issalito Issaya na Mtawa Kaparata “BABU”
Mmoja kati ya washindi watatu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1dc-CU_C-fk/VHwy1vhdoLI/AAAAAAAG0cc/KC9WUTrgRcw/s72-c/unnamed.jpg)
shindano la Ndovu Golden Experience lapata mshindi wake wa pili
Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Meneja wa bia ya Ndovu Special Malt ambao ndio waratibu wa shindano hilo Pamela Kikuli alisema, lengo la kuandaa shindano hilo ni kwa ajili ya kuwapa fursa Watanzania kutembelea hifadhi na kujivunia utalii wao wa ndani.
Pamela alisema, mshindi huyo...
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Mkazi wa Korogwe, Tanga aibuka mshindi wa mtoko wa Mbugani kwenye fainali ya kampeni “Tutoke na Serengeti”
Meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium, Bw.Rugambo Rodney (wa pili kulia), akionyesha namba ya simu ya mshindi wa mwisho wa shindano la Tutoke na Serengeti, ambapo Bw. Robert Gabriel mkazi wa Korogwe, Tanga aliibuka mshindi.Msimamizi toka PWC, Golder Kamuzora na (wa pili kulia), Afisa mwandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha,Bw. Jehud Ngolo (wa kwanza kushoto) Afisa Mauzo toka SBL, Anitha Moshi, (wa kwanza kulia). Droo hiyo iliyofanyika katika baa ya Hongera jijini Dar es salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s72-c/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Home Shopping Centre yamzawadia mshindi wake wa kwanza wa shindano la 'pendezesha nyumba na HSC'
![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s1600/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Na Andrew Chale
KAMPUNI ya uuzaji wa bidhaa za majumbani na ofisini ya Home Shopping Centre (HSC) imemzawadia mshindi wake wa kwanza wa ‘pendezesha nyumba na HSC’, Rehane Jaffer zawadi ya sh 500,000. Shindano hilo linaendeshwa kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook kwa jina la ‘Give a Way’. Mshindi alikabidhiwa hundi ya kiasi hicho cha pesa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Meneja Mauzo na Masoko wa HSC, Nadhir Mubarak Bahayan ambaye aliwataka watanzania kushiriki shindano hilo...