shindano la Ndovu Golden Experience lapata mshindi wake wa pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-1dc-CU_C-fk/VHwy1vhdoLI/AAAAAAAG0cc/KC9WUTrgRcw/s72-c/unnamed.jpg)
MSHINDI wa pili ya shindano la Ndovu Golden Experience Amand Kimario amewapiga kumbo washiriki wenzake katika shindano hilo na kujinyakulia nafasi ya kutembelea hifadhi ya Selous mwakani.
Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Meneja wa bia ya Ndovu Special Malt ambao ndio waratibu wa shindano hilo Pamela Kikuli alisema, lengo la kuandaa shindano hilo ni kwa ajili ya kuwapa fursa Watanzania kutembelea hifadhi na kujivunia utalii wao wa ndani.
Pamela alisema, mshindi huyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWashindi wa Ndovu Golden Experience Wazulu hifadhi za Selous
10 years ago
TheCitizen02 Dec
Dar resident wins Ndovu Golden Experience draw
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2YOfsbXcR8/VHzBQBitshI/AAAAAAAG0pU/X3md2KVGeaE/s72-c/unnamed.jpg)
MKAZI wa Kijichi ajishindia nafasi ya kutembelea hifadhi ya wanyama ya Selous kupitia Ndovu Golden Experience
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa bia ya Ndovu Victoria Kimaro alisema, mshindi huyu ameibuka kidedea baada ya kuwagaragaza wenzake katika kampeini hiyo na kupata nafasi ya kwenda katika hiyo hifadhi na mtu mmoja.
Victoria alisema, lengo la kuanzisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s72-c/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Home Shopping Centre yamzawadia mshindi wake wa kwanza wa shindano la 'pendezesha nyumba na HSC'
![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s1600/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Na Andrew Chale
KAMPUNI ya uuzaji wa bidhaa za majumbani na ofisini ya Home Shopping Centre (HSC) imemzawadia mshindi wake wa kwanza wa ‘pendezesha nyumba na HSC’, Rehane Jaffer zawadi ya sh 500,000. Shindano hilo linaendeshwa kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook kwa jina la ‘Give a Way’. Mshindi alikabidhiwa hundi ya kiasi hicho cha pesa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Meneja Mauzo na Masoko wa HSC, Nadhir Mubarak Bahayan ambaye aliwataka watanzania kushiriki shindano hilo...
11 years ago
Michuzi20 Feb
HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK
![1 (5)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/1-5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8h3Ge84s4bsCuJcrnNpjk6GAcHythyLEY0T2YjeHSiWxY9chjewbDQQzkrZ4TzbkkhdXQvxJKd*abhdjwSJ3k5/PRpostswahili.png?width=650)
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Mkenya Sarah Ikumu (15) afunika mbaya kwenye shindano la Britain’s Got Talent, apewa ‘golden buzzer’
Muimbaji mwenye miaka 15, mtoto wa wazazi wa Kenya, Sarah Ikumu anaogelea kwenye dimbwi la ustaa baada ya Jumamosi iliyopita kufunika mbaya kwenye shindano la Britain’s Got Talent.
Kuimba kwake kulimfanya awe mshiriki wa kwanza mwaka huu kupewa kitufe cha dhahabu (golden buzzer) kinachomaanisha kuwa anaingia moja kwa moja kwenye hatua inayofuata.
Sarah Ikumu ameanza kuimba kanisani tangu akiwa na miaka mitano.
Baba yake Alex Gatoto, kutoka Kenya ni mchungaji na amekuwa na mchango mkubwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Masha mshindi shindano la Dk. Mengi
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Lawrence Masha, amesema serikali inayokumbatia wawekezaji wa nje na kuacha kutoa fursa kwa wafanyabiashara wa ndani inakaribisha matatizo. Masha alitoa kauli hiyo jana...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/tmtv.jpg)
FAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10