Video: Mkenya Sarah Ikumu (15) afunika mbaya kwenye shindano la Britain’s Got Talent, apewa ‘golden buzzer’
Muimbaji mwenye miaka 15, mtoto wa wazazi wa Kenya, Sarah Ikumu anaogelea kwenye dimbwi la ustaa baada ya Jumamosi iliyopita kufunika mbaya kwenye shindano la Britain’s Got Talent.
Kuimba kwake kulimfanya awe mshiriki wa kwanza mwaka huu kupewa kitufe cha dhahabu (golden buzzer) kinachomaanisha kuwa anaingia moja kwa moja kwenye hatua inayofuata.
Sarah Ikumu ameanza kuimba kanisani tangu akiwa na miaka mitano.
Baba yake Alex Gatoto, kutoka Kenya ni mchungaji na amekuwa na mchango mkubwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini mwenye miaka 3 ashinda shindano la SA’s Got Talent 2015 (video)
![dj Arch](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dj-Arch-300x194.jpg)
DJ Arch Jnr ndiye DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini aliyeibuka mshindi wa shindano la South Africa’s Got Talent 2015 na kuondoka na zawadi kubwa ya R500,000 (shilingi milioni 74) baada ya kuwashinda washiriki wengine sita katika fainali iliyofanyika Jumapili ya Nov.8 jijini Johannesburg.
Oratilwe Hlongwane a.k.a DJ Arch Jnr mwenye umri wa miaka 3 ndiye mshindi wa kwanza mwenye umri mdogo katika historia ya mashindano hayo.
We have a winner! Congratulations DJ Arch Jnr....
11 years ago
GPLSHINDANO LA AMANI TALENT SEARCH LAENDELEA, WASHIRIKI WATANO WABAKI
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_00181.jpg?width=640)
MOUREEN AIBUKA SUPA STAA WA SHINDANO LA MO KIDS GOT TALENT 2013
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1dc-CU_C-fk/VHwy1vhdoLI/AAAAAAAG0cc/KC9WUTrgRcw/s72-c/unnamed.jpg)
shindano la Ndovu Golden Experience lapata mshindi wake wa pili
Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Meneja wa bia ya Ndovu Special Malt ambao ndio waratibu wa shindano hilo Pamela Kikuli alisema, lengo la kuandaa shindano hilo ni kwa ajili ya kuwapa fursa Watanzania kutembelea hifadhi na kujivunia utalii wao wa ndani.
Pamela alisema, mshindi huyo...
10 years ago
Bongo505 Oct
Video: Shaa na Jackie wapoteza mbaya kwenye Coke Studio na ‘Subira’
11 years ago
Bongo507 Aug
Video: Mizengo Pinda apewa shavu kwenye The Colbert Report ya Comedy Central.. lakini si kama unavyodhani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBFbhAzGgg0/Xkv-ssOToQI/AAAAAAALeEg/QhZOYbv2I5YtnVod0ew3yUQiYXJxLEYJgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_152305_8.jpg)
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...