Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHINDANO LA AMANI TALENT SEARCH LAENDELEA, WASHIRIKI WATANO WABAKI

Baadhi ya washiriki wakikamua jukwaani. Majaji wakiwasikiliza kwa makini washiriki.  Kutoka kushoto ni:…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO‏

 Joyce Kalinga Mshiriki wa Shindano la TMT ambae apia alikua mshindi kutoka Kanda ya Kati Mkoani Dodoma akitoa maneno yake ya shukrani na pia kuwashukuru wadau, Kampuni ya Proin Promotions na watazamaji na waliompigia kura japokuwa bahati haikuwa yake kutokana na kutolewa kwenye kinyanganyiro hicho baada na uchache wa kura kutoka kwa watazamaji.  Lulu na Joti wakitoa maelekezo kwa washiriki wawili wa Shindano la TMT...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KINONDONI TALENT SEARCH

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul  Makonda, akiongea jambo katika uzinduzi wa  Kinondoni Talent Search. Makonda na maofisa wa Manispaa ya Kinondoni wakiwana mchekeshaji Mc Pilipili  na mwimbaji Peter Msechu kwenye uzinduzi huo. Mwimbaji Peter Msechu akiongea jambo kwenye uzinduzi huo.…

 

10 years ago

CloudsFM

Paul Makonda kusaka vipaji kupitia Kinondoni Talent Search

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameitisha waandishi wa habari na kutangaza kuwa ameanzisha Kinondoni Talent Search ambayo itahusika kusaka vipaji vya watoto wenye vipaji kama; Kucheza, Kuimba, Kuchekesha na vinginevyo.
Akizungumza na waandishi wa leo alisema; “Kinondoni Talent Search ni mpango wenye lengo kuu la kuwatambua vijana waishio kwenye wilaya ya Kinondoni wenye vipaji vya kuimba, Kuchekesha ambao wengi wao wapo katika mazingira magumu ya kiuchumi jambo linalowafanya...

 

11 years ago

Michuzi

WIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII

 Waendeshaji wa Show ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwa kwa steji, tayari kwa kuendelea na show hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mkaumbusho ya Taifa Jijini Dar Es Salaam. Mshiriki Ally Kiwendo ambae alikuwa ni mmoja kati ya washindi watatu kutoka kanda ya Kusini mkoani Mtwara akitoa maneno ya shukrani kwa Kampuni ya Proin Promoitons ambao ndio waandaaji na waendeshaji wa Shindano la TMT mara baada ya kutangazwa kuaga shindano hilo kutokana na Kura kuwa chache,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sikiliza wimbo mpya wa TOP 20 ya Kinondoni Talent Search 2015 -“Kipaji Chako Ajira Yako”

IMG-20150423-WA0021

Habari ndugu;

Ninamatumaini makubwa kuwa umzima wa afya na unaendelea vyema katika shughuli zako za kila siku.natambua na kuheshimu mchango wako  ikiwa ni moja ya  miongoni mwa jitihada katika kuhakikisha taifa letu linakwamuka kiuchumi na kujiletea maendeleo kupitia nafasi yako ya kazi.

Leo ninaomba nikushirikishe wimbo huu mpya ambao umefanywa na vijana 20 ambao wameingia katika hatua nyingine ya juu zaidi baada ya kuchujwa kutika kundi la vijana zaidi ya 17510 waliojitokeza katika...

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOANI TABORA LAENDELEA NA OPERESHENI TOKOMEZA UHALIFU,WATANO WATIWA MBARONI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora,ACP Suzan S. Kaganda akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) silaha zilizokamatwa na Jeshi la Polisi mkoani humo katika Opereshen kali iliyokuwa ikifanyika. ambapo walikamatwa watuhumiwa watano wakiwa na silaha hizo aina ya SMG mbili No AB-018-0414 na EE 125419 zikiwa na risasi 25 na Gobore tatu,baruti na goroli pamoja na vipande vya nondo.Watuhumiwa hao walikamatwa katika maeneo ya Igunga,Kaliua na Sikonge mkoani Tabora.Kamanda wa Polisi mkoa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani