Paul Makonda kusaka vipaji kupitia Kinondoni Talent Search
Akizungumza na waandishi wa leo alisema; “Kinondoni Talent Search ni mpango wenye lengo kuu la kuwatambua vijana waishio kwenye wilaya ya Kinondoni wenye vipaji vya kuimba, Kuchekesha ambao wengi wao wapo katika mazingira magumu ya kiuchumi jambo linalowafanya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KINONDONI TALENT SEARCH
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, akiongea jambo katika uzinduzi wa Kinondoni Talent Search. Makonda na maofisa wa Manispaa ya Kinondoni wakiwana mchekeshaji Mc Pilipili na mwimbaji Peter Msechu kwenye uzinduzi huo. Mwimbaji Peter Msechu akiongea jambo kwenye uzinduzi huo.…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VgEW3M076UI/default.jpg)
10 years ago
GPL29 Apr
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Sikiliza wimbo mpya wa TOP 20 ya Kinondoni Talent Search 2015 -“Kipaji Chako Ajira Yako”
Habari ndugu;
Ninamatumaini makubwa kuwa umzima wa afya na unaendelea vyema katika shughuli zako za kila siku.natambua na kuheshimu mchango wako ikiwa ni moja ya miongoni mwa jitihada katika kuhakikisha taifa letu linakwamuka kiuchumi na kujiletea maendeleo kupitia nafasi yako ya kazi.
Leo ninaomba nikushirikishe wimbo huu mpya ambao umefanywa na vijana 20 ambao wameingia katika hatua nyingine ya juu zaidi baada ya kuchujwa kutika kundi la vijana zaidi ya 17510 waliojitokeza katika...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUSOMESHA YATIMA 12
Hayo aliyabainisha Dar es Salaam jana wakati Kampuni ya Simu za mkononi Zantel ikikabidhi kisima cha maji safi katika kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka jijini Dar es Salaam.
Watoto hao 12, ambapo 8 kati yao wana elimu ngazi ya sekondari huku 3 wakitakiwa...
10 years ago
MichuziPAUL MAKONDA AUNDA KAMATI YA KUSHUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA ARDHI KINONDONI
Mkuu wa Wilaya la KinondoniMkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya kutembelea wilaya hiyo, Makonda alisema asili ya migogoro hii inatokana hasa na mgongano wa uhalali wa umiliki pamoja na uvamizi wa maeneo ya wazi yaliyotengwa maalumu kwa shughuli za...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania