MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.
DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia mpango huo....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBuQl9DVg6E/U8foeFB_gCI/AAAAAAAF3Fk/Js-pE7P8knQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Paul Makonda kusaka vipaji kupitia Kinondoni Talent Search
Akizungumza na waandishi wa leo alisema; “Kinondoni Talent Search ni mpango wenye lengo kuu la kuwatambua vijana waishio kwenye wilaya ya Kinondoni wenye vipaji vya kuimba, Kuchekesha ambao wengi wao wapo katika mazingira magumu ya kiuchumi jambo linalowafanya...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KINONDONI TALENT SEARCH
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VgEW3M076UI/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
GPL29 Apr
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Sikiliza wimbo mpya wa TOP 20 ya Kinondoni Talent Search 2015 -“Kipaji Chako Ajira Yako”
Habari ndugu;
Ninamatumaini makubwa kuwa umzima wa afya na unaendelea vyema katika shughuli zako za kila siku.natambua na kuheshimu mchango wako ikiwa ni moja ya miongoni mwa jitihada katika kuhakikisha taifa letu linakwamuka kiuchumi na kujiletea maendeleo kupitia nafasi yako ya kazi.
Leo ninaomba nikushirikishe wimbo huu mpya ambao umefanywa na vijana 20 ambao wameingia katika hatua nyingine ya juu zaidi baada ya kuchujwa kutika kundi la vijana zaidi ya 17510 waliojitokeza katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UMOJA WA VIKUNDI VYA WAMA KATIKA WILAYA YA KINONDONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z29XipiFWo0/VJMUV07zMvI/AAAAAAAG4SM/HEmfG-ub6Jg/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yIKLg8UFvK0/VJMUWYZB0bI/AAAAAAAG4SU/355m6ThAE-E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)