Masha mshindi shindano la Dk. Mengi
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Lawrence Masha, amesema serikali inayokumbatia wawekezaji wa nje na kuacha kutoa fursa kwa wafanyabiashara wa ndani inakaribisha matatizo. Masha alitoa kauli hiyo jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Waziri mstaafu ashinda shindano la Mengi
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Dkt. Reginald Mengi kumzawadia milioni 10 mshindi wa wazo la biashara la 3N
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Mshindi wa Januari 2015 wa shindano la wazo la biashara 3N anatarajiwa kutangazwa siku ya Alhamisi ya Februari 12 kuanzia saa tano asubuhi jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa Dk. Reginald Mengi kupitia kurasa wake wa twitter, alitangazia umma kuwa Shindano hilo jipya lijulikanalo kwa kifupi -3N, ikiwa ni kifupisho cha ‘Nitabuni wazo la biashara, Nitatekeleza, na Nitafanikiwa’, ambapo mshindi wa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/tmtv.jpg)
FAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/mengi2.jpg)
DKT. REGINALD MENGI KUMZAWADIA MILIONI 10 MSHINDI WA WAZO LA BIASHARA LA 3N
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti akifurahia wikiendi mbugani
Mshindi wa kwanza wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Hassan Mfaume akiwa na rafiki yake kipenzi, Mohamedi Ally walipowasili katika hifadhi ya taifa ya Serengeti tayari kufurahia wikiendi yao kwa kutalii sehemu mbalimbali za hifadhi hiyo maarufu duniani. Safari hii inagharamiwa na Kampuni ya bia ya Serengeti.
Bw. Hassan na rafiki yake wakiwa ndani ya gari baada ya kuanza safari yao ya utalii ndani ya mbuga mashuhuri ya Serengeti mkoani Mara.
Hassan na rafiki yake wakipozi kwa ajili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1dc-CU_C-fk/VHwy1vhdoLI/AAAAAAAG0cc/KC9WUTrgRcw/s72-c/unnamed.jpg)
shindano la Ndovu Golden Experience lapata mshindi wake wa pili
Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Meneja wa bia ya Ndovu Special Malt ambao ndio waratibu wa shindano hilo Pamela Kikuli alisema, lengo la kuandaa shindano hilo ni kwa ajili ya kuwapa fursa Watanzania kutembelea hifadhi na kujivunia utalii wao wa ndani.
Pamela alisema, mshindi huyo...
9 years ago
VijimamboCAROLINA CHILELE AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
Mshindi wa Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 msimu wa nne akitoa neno la Shukurani kwa ushindi alioupata , Ameshukuru shirika la Oxfam kwa kuendesha shindano hilo na kuahidi kuwa atakwenda kuwa Balozi mzuri na kusema kuwa washiriki wote ni washindi na yeye amepata zawadi hiyo kuwawakilisha wote.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s72-c/Mwanamakuka.jpg)
ALIYEKUWA MSHINDI WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA 2013 AFARIKI DUNIA JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s1600/Mwanamakuka.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jan
Benjamin Webi aibuka mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star Kenya