Waziri mstaafu ashinda shindano la Mengi
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha ameibuka mshindi katika shindano la Mawazo ya Ubunifu katika Kujiinua Kiuchumi, lililoanzishwa na Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, lijulikanalo kama Tweet na Mengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii23 Sep
Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Masha mshindi shindano la Dk. Mengi
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Lawrence Masha, amesema serikali inayokumbatia wawekezaji wa nje na kuacha kutoa fursa kwa wafanyabiashara wa ndani inakaribisha matatizo. Masha alitoa kauli hiyo jana...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
IGP mstaafu ashinda ‘Mimi Bingwa’
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
9 years ago
Michuzi26 Dec
Asha Salum ‘Kidoa’ ashinda Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015
![IMG_1255](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_12551.jpg)
Fainali ya lile Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015 ilifanyika jana ambapo Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ aliibuka kidedea. Kidoa alitangazwa mshindi kufuatia kupigiwa kura nyingi na wasomaji wa Gazeti la Ijumaa hivyo...
10 years ago
Bongo508 Oct
Lundenga ashinda kesi ya kuendelea kuendesha shindano la Miss Tanzania, Oct 11
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania Mimi ni Bingwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s1600/unnamed+(1).jpg)
---------------------------- MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya anakila sababu...
9 years ago
Bongo510 Nov
DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini mwenye miaka 3 ashinda shindano la SA’s Got Talent 2015 (video)
![dj Arch](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dj-Arch-300x194.jpg)
DJ Arch Jnr ndiye DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini aliyeibuka mshindi wa shindano la South Africa’s Got Talent 2015 na kuondoka na zawadi kubwa ya R500,000 (shilingi milioni 74) baada ya kuwashinda washiriki wengine sita katika fainali iliyofanyika Jumapili ya Nov.8 jijini Johannesburg.
Oratilwe Hlongwane a.k.a DJ Arch Jnr mwenye umri wa miaka 3 ndiye mshindi wa kwanza mwenye umri mdogo katika historia ya mashindano hayo.
We have a winner! Congratulations DJ Arch Jnr....