IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziIGP MSTAAFU PHILEMONI MGAYA ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA MSUYA ASTAAFU SIASA ,JK AMPONGEZA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-18ak69GwNsQ/UtZauR1ya5I/AAAAAAAFHAU/0JPadsUnEmk/s1600/D92A7518.jpg)
RAIS JK AWAJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA DAVID MSUYA NA WAZIRI HAROUN ALI SULEIMAN
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Waziri Mkuu Msaafu Mzee Cleopa David Msuya aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jana jijini Dar es Salaam. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Waziri wa nchi Afisi ya Rais Kazi…
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s72-c/IMG-20151228-WA0001.jpg)
Profesa Mark Mwandosya asherehekea kufikisha miaka 66 ya kuzaliwa kwake
Leo tarehe 28 Desemba, Profesa Mark Mwandosya amesherehekea kufikisha miaka 66 tangu kuzaliwa. Amesherehekea sikukuu yake hiyo akiwa kijijini kwake Lufilyo, Busokelo Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya. Anamshukuru Mwenyezi Mungu na Watanzania wenzake kwa baraka anazoendelea kupata.
Profesa Mark Mwandosya akiwa akijiandaa kukata keki ya asili pamoja na maandazi wakati wa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 28 Desemba, akiwa pamoja na ndugu zake ambao walimtayarishia keki hiyo.
Profesa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s640/IMG-20151228-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QMYU62BnQ7k/VoFJWIK3Y_I/AAAAAAAIPCA/t73jCW9p-sQ/s640/IMG-20151228-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s72-c/1.jpg)
MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7ygtuCBTT0/U5SI69yCz2I/AAAAAAAFo6U/lwYX3BY4icI/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPnbcIoOIGg/U5SJHDUaWTI/AAAAAAAFo6c/ztWul9DPEsM/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jBd3GacvvLo/U5SFeqce3-I/AAAAAAAFo3M/GTac7NHGEK4/s1600/11.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!
![IMGS2602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS2602.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania