Profesa Mark Mwandosya asherehekea kufikisha miaka 66 ya kuzaliwa kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s72-c/IMG-20151228-WA0001.jpg)
Leo tarehe 28 Desemba, Profesa Mark Mwandosya amesherehekea kufikisha miaka 66 tangu kuzaliwa. Amesherehekea sikukuu yake hiyo akiwa kijijini kwake Lufilyo, Busokelo Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya. Anamshukuru Mwenyezi Mungu na Watanzania wenzake kwa baraka anazoendelea kupata. Profesa Mark Mwandosya akiwa akijiandaa kukata keki ya asili pamoja na maandazi wakati wa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 28 Desemba, akiwa pamoja na ndugu zake ambao walimtayarishia keki hiyo.
Profesa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s72-c/1.jpg)
MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7ygtuCBTT0/U5SI69yCz2I/AAAAAAAFo6U/lwYX3BY4icI/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPnbcIoOIGg/U5SJHDUaWTI/AAAAAAAFo6c/ztWul9DPEsM/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jBd3GacvvLo/U5SFeqce3-I/AAAAAAAFo3M/GTac7NHGEK4/s1600/11.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
10 years ago
MichuziPROFESA MARK MWANDOSYA ANENA
Nilidhani leo mitandao yote ingesheni habari hiyo kubwa. Kumbe nami nimekuwa "staa" katika mitandao ya kijamii. Kuanzia asubuhi nimekuwa nikipokea na kujibu simu mbalimbali nikiulizwa maoni yangu kuhusu tukio la jana, kuhusu mchakato wa Dodoma...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Profesa Mark Mwandosya ziarani Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s1600/unnamed+(51).jpg)
11 years ago
GPLNAY WA MITEGO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4hNukqhfhE2dVgnwxulZm9Xzh9594--lDdy6MSzM-YETW4UUeWMdIiOTh3yPYQ2Sy09XbyAEcII*eH5qu95PaTQWeQJ8GwQg/1.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y9h3Yu_JVxY/VSi7QmTZuwI/AAAAAAAHQL4/kEa4xX8Vj8Y/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
ziara ya kikazi ya profesa mark mwandosya zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y9h3Yu_JVxY/VSi7QmTZuwI/AAAAAAAHQL4/kEa4xX8Vj8Y/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-76P-jr7ougA/VSi6eHykacI/AAAAAAAHQLg/PMHD7im957E/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fS9908QiabM/VX6ue8qw82I/AAAAAAAAQ6U/wCYsefHmGlU/s72-c/E86A0409%2B%2528800x533%2529.jpg)
PROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI KILIMANJARO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fS9908QiabM/VX6ue8qw82I/AAAAAAAAQ6U/wCYsefHmGlU/s640/E86A0409%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wgHzYBstIIU/VX6ue62p_5I/AAAAAAAAQ6Y/bj7YiR02jEk/s640/E86A0411%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nbLe3Wy6PuM/VX6uhrQtiSI/AAAAAAAAQ6s/_j3WIzT9Xgo/s640/E86A0412%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZoWkxdNPlI/VX6uhxWed2I/AAAAAAAAQ64/hol77iHGF_E/s640/E86A0417%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DyZjD_Zcv78/VX6ujN7qWtI/AAAAAAAAQ7A/v7zDWnlwIGI/s640/E86A0419%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s72-c/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote
![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s640/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...